Yani uwe forward au midfielder...AWE ANAJISHUGHULISHA ASIWE GOALKEEPER nakazia mitano tena.
Kuanzia beki,midfilder na forward tu. Hata uokoe vipi au kuibeba timu kama Aishi Manula hapo hana nafasi πππYani uwe forward au midfielder...
Wengi tu kama aishi manula, shikalo, juma k juma.. Mimi mwenye golikipa nyanda makaveli mikono mia.. Tupo wengi tu magolikipa[emoji848]Kuna wanaume magoli kipa.[emoji3][emoji3577]
Sisi wakina kindoki tukae mbali kabisaaaaKuanzia beki,midfilder na forward tu. Hata uokoe vipi au kuibeba timu kama Aishi Manula hapo hana nafasi πππ