Mwenza wa maisha

Mwenza wa maisha

mercy2

New Member
Joined
Feb 27, 2021
Posts
1
Reaction score
8
Naitwa mercy natafuta mwenza wa kufanya nae maisha sifa zangu ni:
Umri 33yrs
Dini Mkristo
Elimu Degree
Kazi Mwajiriwa serikalini
Sina mtoto na wala sijawahi kuolewa koz nilikuwa nasoma na kutafuta maisha
SIFA ZA MWANAUME NINAEMUHITAJI
AWE NA UMRI KUANZIA MIAKA 34-44
AWE ANAJISHUGHULISHA ASIWE GOALKEEPER. asante
 
Sifa ya black man haiwezi kupewa kipaombele zaidi😁😁
 
AWE ANAJISHUGHULISHA ASIWE GOALKEEPER nakazia mitano tena.
 
Kazi yako ni nini mercy?
I mean uko idara gani?
Ni muhimu, kuna baadhi ya waoaji hawapendi baadhi ya kazi fulani fulani kwa wenza wao ni bora ukabainisha
 
Mimi najishughulisha ila ndio GOALKEEPER katika timu ya chama la wana FC.
 
Subiri miaka izidi kukata.....umkose hata huyo Goalkeeper.....uanze kutafuta ma Ball boys.
 
Muwe mnaweka na picha itanogeshaa zaidi
 
Back
Top Bottom