Naitwa mercy natafuta mwenza wa kufanya nae maisha sifa zangu ni:
Umri 33yrs
Dini Mkristo
Elimu Degree
Kazi Mwajiriwa serikalini
Sina mtoto na wala sijawahi kuolewa koz nilikuwa nasoma na kutafuta maisha
SIFA ZA MWANAUME NINAEMUHITAJI
AWE NA UMRI KUANZIA MIAKA 34-44
AWE ANAJISHUGHULISHA ASIWE GOALKEEPER. asante
Umri 33yrs
Dini Mkristo
Elimu Degree
Kazi Mwajiriwa serikalini
Sina mtoto na wala sijawahi kuolewa koz nilikuwa nasoma na kutafuta maisha
SIFA ZA MWANAUME NINAEMUHITAJI
AWE NA UMRI KUANZIA MIAKA 34-44
AWE ANAJISHUGHULISHA ASIWE GOALKEEPER. asante