Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂🤣🤣🤣
sipati picha leo jamaa atakavyokufaidi asee 😋😋
Mbn unajitekenya na kucheka?Mwanamke mwenye mapenzi ya kweli? Are u serious?
Kuhusu mtoto nimeweka, kuhusu mengne karibu PM, Afya ni muhimu zaidi ya vyoteTuweke wazi hapa,
Unahitaji mwenye mtoto tu?
Kabila lako?
Umeajiliwa au umejiajili?
Uko tayari kupima afya?
🤣🤣🤣 Wee umemtosa mwanangu National Anthem kisa yupo jobless wakaati jamaa anakuoenda kichizi yaani. Kila leo ananiambia mwanangu lizzy nampenda sana sema naye ndio hanitaki.Acha kumtisha mwenzio mzabzab
Mbona tupo wengi tu japo kinyang'anyiro hakituhusu.
National Anthem ana gundu mbona Darlin mwenyewe kamtema🤣🤣🤣 Wee umemtosa mwanangu National Anthem kisa yupo jobless wakaati jamaa anakuoenda kichizi yaani. Kila leo ananiambia mwanangu lizzy nampenda sana sema naye ndio hanitaki.
Hamna bwana sio gundu nyie warembo wa humu jf mnatutosa mie na mwanangu National Anthem pamoja na kuwaonyesha kuwa tunawaoenda kiasi gani.National Anthem ana gundu mbona Darlin mwenyewe kamtema
Bila ushahidi hayo yote ni batili 😁😁😁🤣🤣🤣 Wee umemtosa mwanangu National Anthem kisa yupo jobless wakaati jamaa anakuoenda kichizi yaani. Kila leo ananiambia mwanangu lizzy nampenda sana sema naye ndio hanitaki.
Bas subiri dawa imkoleeHamna bwana sio gundu nyie warembo wa humu jf mnatutosa mie na mwanangu National Anthem pamoja na kuwaonyesha kuwa tunawaoenda kiasi gani.
Lizzy anamtesa sana moyo jamaa yangu mpaka anasikitisha
AsanteeeKila la kheri mkuu!!
Ataacha uchepukoKuna mchepuko mmoja mstaarabu, nikupatie namba yake?
Tatizo pesa, Tatizo hamna kazi🤣🤣🤣 Wee umemtosa mwanangu National Anthem kisa yupo jobless wakaati jamaa anakuoenda kichizi yaani. Kila leo ananiambia mwanangu lizzy nampenda sana sema naye ndio hanitaki.