Amazon Woman
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 796
- 1,187
Me nashindwaga muelewa Yani akae kundi gani[emoji23][emoji23][emoji23].Hahahaaaa!!! Daaah!sidharau hizo Dada anajitumaaaa ye anasinzia kaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me nashindwaga muelewa Yani akae kundi gani[emoji23][emoji23][emoji23].Hahahaaaa!!! Daaah!sidharau hizo Dada anajitumaaaa ye anasinzia kaaah
Hana mzuka nae huyo demu inakula kwakeMe nashindwaga muelewa Yani akae kundi gani[emoji23][emoji23][emoji23].
Ila mimi naona la kawaida mkuu...cha kushangaza yeye anachukulia kwa uzito.Kuna jamaa angu naye yuko ivo,, ila yeye kwenye mpira halali, il mechi ikiisha tu pale mnaangalia replay za goal ye tayari kashaangusha,, kuna mwaka mmoja nilienda kwao, baada ya msosi wa usiku jamaa mazima, mama ake akasema amerithi kwa baba yake,,,
Watu mna rithi vingi
Tufanye majaribio kwako mkuu nione.
Ndio raha yangu.Na usipoamshwa?
Au unapitiwa wakati mnagegedana?Natoa mkuu ila atataka stori ziendelee walau nusu saa kisha tulale.
Bahati mbaya/nzuri napitiwa. Wewe tatizo halikutokei kwa hubby wako?
Kunyonya uume...!!na kumkojoza kwa njia ya mdomo km sijakoseaWakuu eti blow job ni nini maana JF ni kijiwe cha kujifunza.
Huwa naliskia skia tu.
Teh.... nitamdaka kabla hajaanza kubebwa.
Poa mkuu...nimekuona na mbwa wako hapo nikajua ndiye rafiki mkubwa tu mkuu.
Usikute kaandika akiwa ndotoniWahi usije ukasinzia tena ukiwa humu JF, kesho ukaleta uzi mwingine.