Mwenza wangu ana wivu na usingizi wangu.

Mwenza wangu ana wivu na usingizi wangu.

Kuna cousin yangu huyo tulikwenda club nilimuacha kwenye dance floor kwenda kuchukuwa bia. Narudi namuona kalala kwenye speaker na makelele yote yale aiseee huyu jamaa akipata upepo tu [emoji42][emoji42].
Kabila zako:-
A = Mhindi
B = Muarabu
C = Mchagga


Nangatukaa[emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Toa mchaga Weka msukuma au mnyaturu
 
Back
Top Bottom