Mwenzenu najuta kumtoa mam'dogo bikra. Nimeoa, ameolewa na baba yangu, lakini bado ananing'an'gania tu. Nifanyeje ili nimuepuke?

Ok mkuu 😂
 
Una kazi ya ziada kuepuka vishawishi mkuu
 
Una kazi ya ziada kuepuka vishawishi mkuu
Kibaya zaidi ashakuwa mtu wa familia, hivyo kumkwepa kabisa ni ngumu maana ni lazima kuna siku tutakutana kwenye mazingira yoyote ya kifamilia, hivyo kujikuta anashindwa kunisahau kabisa.
 
Bora wewe kaolewa na baba yako mdogo.
Kuna mtu x wake aliolewa na baba yake mzazi.
Ubaya zaidi wadogo zake wa kiume huyo jamaa watano(5) hivi wanajua hiyo siri.
 
Bora wewe kaolewa na baba yako mdogo.
Kuna mtu x wake aliolewa na baba yake mzazi.
Ubaya zaidi wadogo zake wa kiume huyo jamaa watano(5) hivi wanajua hiyo siri.
Duh hilo balaa aisee.

Sasa dingi wao ashajua kama mwanae alikuwa anamkaza mkewe au bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…