fidelis zul zorander
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 685
- 176
ngoshwe
mkuu kama vipimo vyote ni negative na bado unaumwa basii utakua unastress zina kusumbua na zimekusababishia condition inaitwa psychosomatic disoder, ni jinsi ubongo unaposhindwa kukabiliana na stress za mda mrefu kwahio inaamishia kwenye viungo...yaani unasikia kama unaumwa lakini ukipima majibu ni negative.
ushauri wangu ni kwamba nenda kawaone wataalamu wa akili, njoo hapa muhimbili kuna department ya psychitry watakusaidia
mkuu kama vipimo vyote ni negative na bado unaumwa basii utakua unastress zina kusumbua na zimekusababishia condition inaitwa psychosomatic disoder, ni jinsi ubongo unaposhindwa kukabiliana na stress za mda mrefu kwahio inaamishia kwenye viungo...yaani unasikia kama unaumwa lakini ukipima majibu ni negative.
ushauri wangu ni kwamba nenda kawaone wataalamu wa akili, njoo hapa muhimbili kuna department ya psychitry watakusaidia
Last edited by a moderator: