Mwenzenu yalinikuta: Tujuzane yaliyokukuta valentine 2022

Mwenzenu yalinikuta: Tujuzane yaliyokukuta valentine 2022

Ha ha ha.....
Wee nae Ni balaa, ilkuaje kuaje mkuu[emoji4]
Siku ya Valentine's day nilikua nimepanga nikitoe out kitoto flani cha chuo ila kinakaa kwao na wala sio kidem changu ila ilikua gia ya kukitafuna. Maza wake nafahamiana nae kiasi coz nilishafanya kazi yake kama mara mbili na hata huyo dem nilimfaham sababu alikujaga na mamaake mara zote hizo,na mara ya mwisho nilivoomba namba alitumwa na mamaake kunipitishia balance yangu enzi tozo imetamalaki.

Ni vitoto flani mayai so nilikua naview tu status zake na hata tulikua hatuchatigi kiivo hadi siku moja kaweka post flani status nikamtania nikaona yupo interested ndo hadi tukapanga huo mtoko. Ila nikamuuliza itakuaje home kwenye kuaga maana nishamwambiaga maza hata asijue huwa tunawasiliana.

Akasema sio ishu kuna best yake wanakuaga wote na sometimes analala kwao so nimpange mapema tu ili mazeli amruhusu maana huyo mwenzake kapanga jirani na chuo. Ila akaomba na mwenzake tutoke nae maana sio vizuri amuache wakati ndo kamsaidia kupata ruhusa.

Kweli nikawapitia tukaenda kiwanja flani maarufu mbezi beach. Vitoto vikafakamia flying fish kumbe hata sio vinywaji...kufika saa sita tu hoi havijiwezi kabisa,yule wa kwangu ndo full drama hadi analia..yule rafiki yake kidogo yuko sawa ila nae alikunywa 3 tu hoi mwenzie ndo kapiga 5 za fasta na si mnywaji.

Nikaagiza maji makubwa ya baridi wanywe,hola...mwagia maji hola. Ikabidi tumkokote yule wangu hadi kwenye gari yaani full drama,tukamlaza siti ya nyuma afu mwenzake nikakaa nae mbele. Kidem kizuri hatari na kigauni flani chepesi kifupi alivokaa kikapanda juu nikasema hakyanani we nakukula liwalo na liwe.

Sasa tatizo likawa yule wangu halali usingizi analialia tu mara mama akijua ataniua..mara kwanini hatujamzuia kunywa...so ikawa hanipi gap la kupiga storry na mwenzake maana mwenzake anambembeleza. Mara paa tumefika magetoni.

Nikashuka fasta na yule mwenzake nikamwambia please ukimpeleka ndani uje mara moja tukae hata kwenye gari maana sikutegemea kampani kuisha mapema hivi nami bado namizuka. Akasema poa ila siwez muacha peke yake ndani nikaenda mbali,nikamwambia tunakaa tu kwenye gari kidogo nivutie mda wa kwenda kulala.

Basi akampeleka ndani...nilifanya mistake sikuchkua namba ya kile kitoto maana nilikaa zaidi ya lisaa pale nje haji. Nikapata hasira nikaanza sepa mara kwa mbele namuona dem nae anakuja uelekeo wangu maana ule mtaa usiku huwa unafungwa na yale mageti sababu upande wa pili hautoki so nikajua nae atakua dent anakaa moja ya zile nyumba.

Ndo nikasimama nikashuka nikamuita akaja. Ni dem mzuri tu black beauty na kifigure chake kama dem wangu wa zamani mngaza wa kanda ya ziwa. Nikamdanganya kuna dem alinielekeza anakaa pande hizi nilimuomba outing afu nimekuja hadi huku kanipotezea. Dem akasema valentine leo labda katoka na mtu wake,nikamwambia si angenambia tu.

Basi tunapiga story huku mi nikimsisitiza anipe kampani sina namna akawa anachomoa. Nikamwambia basi twende tu hapo kitambaa cheupe (mpya ya sinza) maana ni mtaa wa pili tu akasema ye hapendagi makelele. Ila pamoja na kuchomoa kote bado alikua interested na story maana alikua haondoki ila nahisi ni ule wasiwasi kuwa hanifaham.

Mwishoni nikaomba contact nikambeep ndo akaanza kulegeza na mwishoni tukaenda kukaa sehem jirani na mitaa ile. Ndo akanambia ye sio dent ila anafanya kazi supermarket posta.. kampani ilinoga hadi sa tisa hivi na akakolea na nikaenda kumtafuna vizuri sana .. akanambia bwanaake ni mme wa mtu so hanaga habari na vitu vya kitoto kama Valentine's day.

Ajabu hadi leo namba yake haipatikani wakati usiku ule nilimbeep ikaita maana aliniokoa afu ni dem anajielewa kabisa aisee namimi nataka niendeleze nae libeneke
 
Siku ya Valentine's day nilikua nimepanga nikitoe out kitoto flani cha chuo ila kinakaa kwao na wala sio kidem changu ila ilikua gia ya kukitafuna. Maza wake nafahamiana nae kiasi coz nilishafanya kazi yake kama mara mbili na hata huyo dem nilimfaham sababu alikujaga na mamaake mara zote hizo,na mara ya mwisho nilivoomba namba alitumwa na mamaake kunipitishia balance yangu enzi tozo imetamalaki.

Ni vitoto flani mayai so nilikua naview tu status zake na hata tulikua hatuchatigi kiivo hadi siku moja kaweka post flani status nikamtania nikaona yupo interested ndo hadi tukapanga huo mtoko. Ila nikamuuliza itakuaje home kwenye kuaga maana nishamwambiaga maza hata asijue huwa tunawasiliana.

Akasema sio ishu kuna best yake wanakuaga wote na sometimes analala kwao so nimpange mapema tu ili mazeli amruhusu maana huyo mwenzake kapanga jirani na chuo. Ila akaomba na mwenzake tutoke nae maana sio vizuri amuache wakati ndo kamsaidia kupata ruhusa.

Kweli nikawapitia tukaenda kiwanja flani maarufu mbezi beach. Vitoto vikafakamia flying fish kumbe hata sio vinywaji...kufika saa sita tu hoi havijiwezi kabisa,yule wa kwangu ndo full drama hadi analia..yule rafiki yake kidogo yuko sawa ila nae alikunywa 3 tu hoi mwenzie ndo kapiga 5 za fasta na si mnywaji.

Nikaagiza maji makubwa ya baridi wanywe,hola...mwagia maji hola. Ikabidi tumkokote yule wangu hadi kwenye gari yaani full drama,tukamlaza siti ya nyuma afu mwenzake nikakaa nae mbele. Kidem kizuri hatari na kigauni flani chepesi kifupi alivokaa kikapanda juu nikasema hakyanani we nakukula liwalo na liwe.

Sasa tatizo likawa yule wangu halali usingizi analialia tu mara mama akijua ataniua..mara kwanini hatujamzuia kunywa...so ikawa hanipi gap la kupiga storry na mwenzake maana mwenzake anambembeleza. Mara paa tumefika magetoni.

Nikashuka fasta na yule mwenzake nikamwambia please ukimpeleka ndani uje mara moja tukae hata kwenye gari maana sikutegemea kampani kuisha mapema hivi nami bado namizuka. Akasema poa ila siwez muacha peke yake ndani nikaenda mbali,nikamwambia tunakaa tu kwenye gari kidogo nivutie mda wa kwenda kulala.

Basi akampeleka ndani...nilifanya mistake sikuchkua namba ya kile kitoto maana nilikaa zaidi ya lisaa pale nje haji. Nikapata hasira nikaanza sepa mara kwa mbele namuona dem nae anakuja uelekeo wangu maana ule mtaa usiku huwa unafungwa na yale mageti sababu upande wa pili hautoki so nikajua nae atakua dent anakaa moja ya zile nyumba.

Ndo nikasimama nikashuka nikamuita akaja. Ni dem mzuri tu black beauty na kifigure chake kama dem wangu wa zamani mngaza wa kanda ya ziwa. Nikamdanganya kuna dem alinielekeza anakaa pande hizi nilimuomba outing afu nimekuja hadi huku kanipotezea. Dem akasema valentine leo labda katoka na mtu wake,nikamwambia si angenambia tu.

Basi tunapiga story huku mi nikimsisitiza anipe kampani sina namna akawa anachomoa. Nikamwambia basi twende tu hapo kitambaa cheupe (mpya ya sinza) maana ni mtaa wa pili tu akasema ye hapendagi makelele. Ila pamoja na kuchomoa kote bado alikua interested na story maana alikua haondoki ila nahisi ni ule wasiwasi kuwa hanifaham.

Mwishoni nikaomba contact nikambeep ndo akaanza kulegeza na mwishoni tukaenda kukaa sehem jirani na mitaa ile. Ndo akanambia ye sio dent ila anafanya kazi supermarket posta.. kampani ilinoga hadi sa tisa hivi na akakolea na nikaenda kumtafuna vizuri sana .. akanambia bwanaake ni mme wa mtu so hanaga habari na vitu vya kitoto kama Valentine's day.

Ajabu hadi leo namba yake haipatikani wakati usiku ule nilimbeep ikaita maana aliniokoa afu ni dem anajielewa kabisa aisee namimi nataka niendeleze nae libeneke
Ha ha ha ....nmesoma yote aisee.

Yaan Wee Jamaa unauchu balaa, mwanamke umekutana nae humjui hakujui badl ukapita nae TU na yeye hajakataa[emoji2]

Vipi Ndom ulikumbuka kuvaa lakin mkuu?[emoji848]
 
Ha ha ha ....nmesoma yote aisee.

Yaan Wee Jamaa unauchu balaa, mwanamke umekutana nae humjui hakujui badl ukapita nae TU na yeye hajakataa[emoji2]

Vipi Ndom ulikumbuka kuvaa lakin mkuu?[emoji848]
Vile vitoto viliniboa sana...ndom ni jadi...nazifichaga kwenye buti mzee
 
Vile vitoto viliniboa sana...ndom ni jadi...nazifichaga kwenye buti mzee
Apo kwenye Kinga safi.
Wee Jamaa nae hufai aisee.

Mimi kupita na mwanamke yeyote aliekatiza usoni huwa Sina hizo kabisa.

Otherwise awe Yuko ktk standards zangu, na yenyewe iyo ntamfikiria asije kua kaja kwa Lengo baya katumwa kuniingiza king nitapeliwe,nibiwe au apate Siri zangu kadhaa kadhaa tukiwa tendoni n.k[emoji4]
 
Na wewe unajua dhambii
Nakupa siri kipimo chochote kisichokuwa na SI UNIT hicho sio kipimo
Kuhusu dhambi hatujui ukiiba unapata dhambi ngap au kuuwa dhambi ngapi kwa mantiki hii hakuna dhambi kiuhalisia ukiona nasema dhambi ujue ni neno tu la kusherehesha maisha kiukweli hakuna dhambi
 
P2 muda mwingine zinazingua hizo mm yaliwahi kunikuta eti tumemaliza mchezo nikampa p2 Lahaulaaa daa naona mtu anatema mate mara siku hajaziona kushutuka kitu kina mwezi mmoja wapi mifepristone plus misoprostol ndio ikawa ahueni sina hamu nazo
Dah! Hizo hata sijawai tumia na mtu wangu yeyote, najimini kwa kumwaga nje.

Hii Njia imekua effective kwangu miaka na miaka, nikiamua kuzaa Ni kuzimwaga ni mwezi TU wife ashajaa mimba[emoji4]
 
P2 muda mwingine zinazingua hizo mm yaliwahi kunikuta eti tumemaliza mchezo nikampa p2 Lahaulaaa daa naona mtu anatema mate mara siku hajaziona kushutuka kitu kina mwezi mmoja wapi mifepristone plus misoprostol ndio ikawa ahueni sina hamu nazo
Miso zinauma sijawahi ona
Bora uingie gharama ukasafishwe kuliko kumeza ile kitu
Maana hadi mtaa wa pili watajua
 
Nakupa siri kipimo chochote kisichokuwa na SI UNIT hicho sio kipimo
Kuhusu dhambi hatujui ukiiba unapata dhambi ngap au kuuwa dhambi ngapi kwa mantiki hii hakuna dhambi kiuhalisia ukiona nasema dhambi ujue ni neno tu la kusherehesha maisha kiukweli hakuna dhambi
Kwahiyo mkuu tule maisha tuu?
 
Mimi hata sijui vinafananaje[emoji4]
Ipo siku utavijua.
Ili mradi unaendelea kutinduana walaaa utavijua tu
Me nshaviuza sanaaa kwanza ni kidonge unakinunua kwa wastani wa shilingi 2500 kwa pakt yenye dawa 4 ila unaenda kukiuza kuanzia elfu 30 to 50 kulingana na aina ya mteja
Na wateja wengi ni wanafunzi na wake za watu [emoji56][emoji56][emoji56]
 
Back
Top Bottom