Mwenzenu yalinikuta: Tujuzane yaliyokukuta valentine 2022

Nothing so special.Mambo ya long distance relationship.
Poleni Sana, kwaiyo ukaishia kujikunyata TU valentine yote.

Ungetoka ata mwnyw ukapate bia moja mwili uchangamke kdg dada Suzy[emoji4]
 
Dah! Biashara inalipa Sana hiyo inaonekana[emoji4]
 


hivi inakuwaje msichana unatembea na shemejii yako

Kuna watu wana maadili mabovu wakati si wengine hata tukisikia umemtongoza rafiki angu hata kama amekukataa hatuwezi kukudate

Ila kuna watu wanagaragazwa na mashemeji zao

Akili ni nywele kila mtu ana zake [emoji854][emoji854]
 
Poleni Sana, kwaiyo ukaishia kujikunyata TU valentine yote.

Ungetoka ata mwnyw ukapate bia moja mwili uchangamke kdg dada Suzy[emoji4]
Nilishinda kazini, usiku nikajitoa tu out .Ila mambo ya pombe nimeacha mkuu.

Huna hata mshikaji wa kunipa nipa company huku Arusha [emoji2356]
 
Nilishinda kazini, usiku nikajitoa tu out .Ila mambo ya pombe nimeacha mkuu.

Huna hata mshikaji wa kunipa nipa company huku Arusha [emoji2356]
Kuna dada angu mmoja mshkaji wangu wa nguvu sana yumo humu jf Kuna kipind alnambia alihamia Arusha.

Ngoja nmuulize Kama bado yupo uko Arusha afu nikunganishe nae[emoji4]

Arusha pazur Sana uko[emoji4]
niliwahi kuja uko na Mchepuko wangu uyu msumbufu. Tulifikia hotel moja inaitwa mercury iko karibu na . Tukaenda sehem moja inaitwa waterfalls milimani uko ,snake park, sehem nyingine wanaita kwa mrefu Kuna jamaa anatafuna vioo pamoja na sehemu nyingine za vivutio vidogo vidogo kadhaa.

Pia Kuna sehem moja wanaita sijui molombo, aisee kile kisehem kimechangamka sana.
Wanakaanga sana nyama ya mbuzi na tukapiga Sana bia pale. Pamechangamka kweli.
Honestly ARUSHA MJI Bomba SANA ULE[emoji4]
 
P2 elfu5 wewe unauza elfu30 hadi elfu50?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…