Mwenzenu yalinikuta: Tujuzane yaliyokukuta valentine 2022

Kashenz sanaa
Sa sijui wanataka wao ndo waolewee
 
Nimeenda kula gambe na mchepuko wangu yupo na mdogo wake,kala savana 4 akawa hoi tukaendakulana kwenye gari. Nimefika home nikalala wife asubuhi anakuja amefura kuna chupi ya mwanamke kwwnye gari na risiti ya elf 50 ya vinywaji. Ugomvi wake haujaisha. Kumbe dem nlivomaliza akaisahu kwenye gari
 
Arusha is really beautiful...

Karibuni tena na tena.
 
Hahahahaha pole mkuu
 
Mpnz wangu na mimi tunafanya kazi mikoa tofauti so alinitumia hela nikanunue chupi nzuri nyekundu halafu nimpigie video call.[emoji23][emoji23]

I wish angekua karibu ili aivue na mdomo wake[emoji179]
 
Maisha yako ni full drama...ukimpata muandishi mzuri unaweza ukaandika kitabu cha maisha yako (familia & mchepuko)
Nikiandika kitabu nitajulikana afu ntaharibu kwa wife,

Ndo maana huu upuuzi wangu nashare jf TU, huku mtaani wengi hawajui makandokando[emoji4]
 
Mpnz wangu na mimi tunafanya kazi mikoa tofauti so alinitumia hela nikanunue chupi nzuri nyekundu halafu nimpigie video call.[emoji23][emoji23]

I wish angekua karibu ili aivue na mdomo wake[emoji179]
Dah! Jamaa ako Yuko very romantic [emoji39]
 
Ha ha ha....
Kwakweli pombe sio chai mkuu.

Kwaiyo wee mwnyw ata ujakumbuka kukagua gar kabla unarudi home[emoji4]
 
Ungevipiga threesome
Uyu jamaa alivobazazi,
vilivomzingua angevipia threesome kabisa uyu.

Maana ujasili wa kuokoteza mpita njia na akapita nae, Ni roho ngumu Sana aisee[emoji2]
 
Ha ha ha....
Una wivu Sana wewe kumbe[emoji4]
 
Lakini Hajatwambia bado alijiteteaje kwa mama watoto wake khs iyo chup ?
Ndo tunasubiri amalizie.

Ila angejifanya kushtuka kana kwamba duh yule mshikaji wangu nilimwazima gari ndo alienda kulia tunda humo.

Nilishawahi kudate na mume wa mtu, so sometimes tulikua tunapiga show kwenye gari kwasababu uvumilivu unatushinda, ila nikishuka tu jamaa alikua anakaguwa gari lake vizuri.

Nakumbuka kuna siku aliniita nje ya nyumba yetu tukafanya mambo kwenye gari and ilikua saa 8 usiku , Nikasahau funguo wa getini kwenye gari lake na geti nilikua nimeifunga kwa nje,uzuri aliniita na kunipatia funguo wangu baada ya kukagua.

Aise ungekua msala home asingekua anakagua gari lake incase angeondoka nao bahati mbaya.
 
Ufunguo sio ishu kubwa, angeweza kujitetea vyoyote akaeleweka.

Kuna vitu kujitetea Ni ngumu mno Kama hizi nguo za ndani, condom, au kitu chochote Cha kike[emoji4]
 
Ufunguo sio ishu kubwa, angeweza kujitetea vyoyote akaeleweka.

Kuna vitu kujitetea Ni ngumu mno Kama hizi nguo za ndani, condom, au kitu chochote Cha kike[emoji4]
Ni kweli.Lakini my mum alikua nje na anytime angepiga simu afunguliwe geti or may be angetukuta nje tunafanya mambo yetu ..Imaginee

Ila muwe mnakumbuka kukagua magari yenu.Michepuko mingine inafanya makusudi kukukomoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…