Mwenzenu yalinikuta: Tujuzane yaliyokukuta valentine 2022

Mwenzenu yalinikuta: Tujuzane yaliyokukuta valentine 2022

Eeeh yaani acha kabisa binamu wabaya sanaa

kuna binamu yangu kaniharibia mahusiano mara mbili yaani unafki unafki na vihelehele umbea umbea mwingi

Bahati nzuri ni favorite cousin kwa mama shangazi shangazi ya nyokoo bila hivo hata salamu nisingempa
Kashenz sanaa
Sa sijui wanataka wao ndo waolewee
 
Nimeenda kula gambe na mchepuko wangu yupo na mdogo wake,kala savana 4 akawa hoi tukaendakulana kwenye gari. Nimefika home nikalala wife asubuhi anakuja amefura kuna chupi ya mwanamke kwwnye gari na risiti ya elf 50 ya vinywaji. Ugomvi wake haujaisha. Kumbe dem nlivomaliza akaisahu kwenye gari
 
Kuna dada angu mmoja mshkaji wangu wa nguvu sana yumo humu jf Kuna kipind alnambia alihamia Arusha.

Ngoja nmuulize Kama bado yupo uko Arusha afu nikunganishe nae[emoji4]

Arusha pazur Sana uko[emoji4]
niliwahi kuja uko na Mchepuko wangu uyu msumbufu. Tulifikia hotel moja inaitwa mercury iko karibu na . Tukaenda sehem moja inaitwa waterfalls milimani uko ,snake park, sehem nyingine wanaita kwa mrefu Kuna jamaa anatafuna vioo pamoja na sehemu nyingine za vivutio vidogo vidogo kadhaa.

Pia Kuna sehem moja wanaita sijui molombo, aisee kile kisehem kimechangamka sana.
Wanakaanga sana nyama ya mbuzi na tukapiga Sana bia pale. Pamechangamka kweli.
Honestly ARUSHA MJI Bomba SANA ULE[emoji4]
Arusha is really beautiful...

Karibuni tena na tena.
 
Nimeenda kula gambe na mchepuko wangu yupo na mdogo wake,kala savana 4 akawa hoi tukaendakulana kwenye gari. Nimefika home nikalala wife asubuhi anakuja amefura kuna chupi ya mwanamke kwwnye gari na risiti ya elf 50 ya vinywaji. Ugomvi wake haujaisha. Kumbe dem nlivomaliza akaisahu kwenye gari
Hahahahaha pole mkuu
 
Mpnz wangu na mimi tunafanya kazi mikoa tofauti so alinitumia hela nikanunue chupi nzuri nyekundu halafu nimpigie video call.[emoji23][emoji23]

I wish angekua karibu ili aivue na mdomo wake[emoji179]
 
Maisha yako ni full drama...ukimpata muandishi mzuri unaweza ukaandika kitabu cha maisha yako (familia & mchepuko)
Nikiandika kitabu nitajulikana afu ntaharibu kwa wife,

Ndo maana huu upuuzi wangu nashare jf TU, huku mtaani wengi hawajui makandokando[emoji4]
 
Mpnz wangu na mimi tunafanya kazi mikoa tofauti so alinitumia hela nikanunue chupi nzuri nyekundu halafu nimpigie video call.[emoji23][emoji23]

I wish angekua karibu ili aivue na mdomo wake[emoji179]
Dah! Jamaa ako Yuko very romantic [emoji39]
 
Nimeenda kula gambe na mchepuko wangu yupo na mdogo wake,kala savana 4 akawa hoi tukaendakulana kwenye gari. Nimefika home nikalala wife asubuhi anakuja amefura kuna chupi ya mwanamke kwwnye gari na risiti ya elf 50 ya vinywaji. Ugomvi wake haujaisha. Kumbe dem nlivomaliza akaisahu kwenye gari
Ha ha ha....
Kwakweli pombe sio chai mkuu.

Kwaiyo wee mwnyw ata ujakumbuka kukagua gar kabla unarudi home[emoji4]
 
Ungevipiga threesome
Uyu jamaa alivobazazi,
vilivomzingua angevipia threesome kabisa uyu.

Maana ujasili wa kuokoteza mpita njia na akapita nae, Ni roho ngumu Sana aisee[emoji2]
 
weeeee

Ngoja waje wakumwagie petroleum na dada ake we sema hana wivu

Bado ka mwanafunzi kana shidashida ndo maana hata akiwa na wivu atafanyaje

Ila mabinamu wabaya sana siwezi tambulisha binamu yangu kwa mupenzi wangu mafarafara sana hawana uchungu kabisa anaweza hata kukuwekea sumu ili abebe mume tu

Shindwa pepo hakuna shemeji wala shemela kwa binamu
Ha ha ha....
Una wivu Sana wewe kumbe[emoji4]
 
Lakini Hajatwambia bado alijiteteaje kwa mama watoto wake khs iyo chup ?
Ndo tunasubiri amalizie.

Ila angejifanya kushtuka kana kwamba duh yule mshikaji wangu nilimwazima gari ndo alienda kulia tunda humo.

Nilishawahi kudate na mume wa mtu, so sometimes tulikua tunapiga show kwenye gari kwasababu uvumilivu unatushinda, ila nikishuka tu jamaa alikua anakaguwa gari lake vizuri.

Nakumbuka kuna siku aliniita nje ya nyumba yetu tukafanya mambo kwenye gari and ilikua saa 8 usiku , Nikasahau funguo wa getini kwenye gari lake na geti nilikua nimeifunga kwa nje,uzuri aliniita na kunipatia funguo wangu baada ya kukagua.

Aise ungekua msala home asingekua anakagua gari lake incase angeondoka nao bahati mbaya.
 
Ndo tunasubiri amalizie.

Ila angejifanya kushtuka kana kwamba duh yule mshikaji wangu nilimwazima gari ndo alienda kulia tunda humo.

Nilishawahi kudate na mume wa mtu, so sometimes tulikua tunapiga show kwenye gari kwasababu uvumilivu unatushinda, ila nikishuka tu jamaa alikua anakaguwa gari lake vizuri.

Nakumbuka kuna siku aliniita nje ya nyumba yetu tukafanya mambo kwenye gari and ilikua saa 8 usiku , Nikasahau funguo wa getini kwenye gari lake na geti nilikua nimeifunga kwa nje,uzuri aliniita na kunipatia funguo wangu baada ya kukagua.

Aise ungekua msala home asingekua anakagua gari lake incase angeondoka nao bahati mbaya.
Ufunguo sio ishu kubwa, angeweza kujitetea vyoyote akaeleweka.

Kuna vitu kujitetea Ni ngumu mno Kama hizi nguo za ndani, condom, au kitu chochote Cha kike[emoji4]
 
Ufunguo sio ishu kubwa, angeweza kujitetea vyoyote akaeleweka.

Kuna vitu kujitetea Ni ngumu mno Kama hizi nguo za ndani, condom, au kitu chochote Cha kike[emoji4]
Ni kweli.Lakini my mum alikua nje na anytime angepiga simu afunguliwe geti or may be angetukuta nje tunafanya mambo yetu ..Imaginee

Ila muwe mnakumbuka kukagua magari yenu.Michepuko mingine inafanya makusudi kukukomoa
 
Back
Top Bottom