Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fidel za bia unazo ila za kwenda loliondo tukuchangie mmmmmm jamani!
Fidel mchango wangu nitakutumia kwa M-pesa, Lakini ujue kabisa, ukishakunywa dawa hakuna kunywa pombe, wala kufanya mapenzi nje ya ndoa.
Ukifanya hivyo huponi tena, na magonjwa yanakurudia.
usingenunua vocha au kwenda net kuandika ujumbe huu ungekuwa na zaidi ya hiyo Tsh 500/= unayoiomba hapa
Unajua kuna halmashauri hapa nchini hawana hata internet?
Waungwana napenda nifike kwa Babu hapo Loliondo na mm nikanywe Juice ya Babu nimegundua juice ya babu ina husika sana katika kuokoa maisha ya mwanadamu. Babu amekuwa ndo kimbilio la wanyonge na matajiri.
Mimi nashindwa kufika kwa babu kutokana na kipato kunikaba jamani naomba michango yenu ya hali na mali sibagui mchango ili niweze kufika kwa Babu niokoe maisha yangu. Mnao penda kuchangia mtu akitangulia mbele ya haki onyesheni ungwana wenu kipindi hiki ambapo sijatangulia mbele ya haki.
Mchango wako naomba unifikishie mm mwenyewe au hawa wafuatao nina imani nao;-
Mchungaji Masanilo
Babu Asprin,
Carina Ti
Kimey
Kutoa ni moyo wala si utajiri waungwana.
Mkono mtupu haulambwi.
Sura sio roho.