Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Huu ndio uanaume sasaNimejikubali nilivyo kaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio uanaume sasaNimejikubali nilivyo kaka.
Amini ninachosema, ni nywele tu... ni nyekundu hatariKama umejikubali ni jambo zuri
Halafu sidhani kama kukataliwa kwako kunahusiana na nywele
Vitu kama ubani avitumiwi huko nyumba za Mungu nakuomba kwakutumia Jina lake?Uchawi kutumia imani tofauti na aliyoagiza Mungu (referred from Bible) ili kufanikisha jambo.
kwamba umegundua wanawake wanakukataa punde tu wanapoona nywele zako nyekundu??Amini ninachosema, ni nywele tu... ni nyekundu hatari
Yaani ni nyekundu mno[emoji38] but nadunda nazo hiziHuu ndio uanaume sasa
Turudi kwenye Bible, imezungumziaje matumizi ya ubani? Je, imepiga marukufu? Jibu litapatikana huko (ikiwa unaiamini Biblia)Vitu kama ubani avitumiwi huko nyumba za Mungu nakuomba kwakutumia Jina lake?
Najikubali kabisa ndugu yangu. Hapa hakuna cha super black wala ninijikubali ulivyo
Wote walidokeza hili katika kuwachimba kidadisi..!kwamba umegundua wanawake wanakukataa punde tu wanapoona nywele zako nyekundu??
umejuaje nywele ndo kichochezi
Mwanamke kama sio mke wangu na haishi kwangu nitampiga mbupu tuu aende zake, kama hataki akajambe mbele huko.Pesa unazo za kutosha??
Au ni pesa zile za kulalamika huyu demu anapenda sana sana😏
Mpe vitu anavyotaka uongeze na ambavyo hajasema halafu urudi kutuambia😅😅
Sawa nashukuru!KWA MAELEZO YAKO HAPO UNA VI ELEMENT VYA USHOGA NA WANAWAKE HUWA WANAJUA WATU WA AINA YAKO WAKOJE. NDO MAANA WANAKUKATAA. MWANAUME HAWEZI JIPATIA SIFA ULIZOTOA. HAKUNA.
Maneno makavu mno hayaMwanamke kama sio mke wangu na haishi kwangu nitampiga mbupu tuu aende zake, kama hataki akajambe mbele huko.
swala la kumuhudumia aende akaongee na wazazi wake vizuri maana ni wajibu wao huo, mie ntampa asicho pewa na wazazi wake tu ,tusibebeshane majukumu yasiyo yetu.
hamna namna zaidi ya kujikubali mkuu.... unaeza nyoa para na usipendezeWote walidokeza hili katika kuwachimba kidadisi..!
Yaani unatongoza wasichana huko kanisani umewakosa?Jamani hali gani?
Niruke kwenye hoja yangu. Mimi ni mwanaume handsome tu safi, ninajua kuvaa na nina vihela vya kubadili mboga na tugari. Nimekuwa nikipata shida mno kupata mwanamke wa kuingia naye mahusianoni kwa sababu ya shida yangu ya nywele nyekundu.
Nina nywele nyekundu ndiyo, ila si kipili pili yaani zile za kujiviriga viriga na kuwa 'tim tim'. Nikichana zinachanika fresh na zinakuwa level safi tu, shida ni rangi yake nyekundu. Daaah! Yaani naandika huku nacheka na sijui kwa nini!
Simply tu nimegundua warembo wanaangalia mno nywele, na ndiyo maana vijana wengi wa sasa wanawekeza sana kwenye mitindo ya nywele na rangi. Siku hizi hakuna kitu kinachouzika madukani kama super blacks, zamani ilikuwa wateja ni wazee, ila nowadays ni vijana wenzetu ndiyo wateja.
Anyway nimejikubali na kuikubali hali yangu ya nywele, nimekataa kutumia super blacks na taka taka nyingine.
Kutokana na mazingira niliyokutana nao hawa mabinti, ilikuwa si rahisi kunijua kwa ukaribu hivyo hawakujua kuwa nina tuchenji, walianza kunihukumu kwa rangi ya nywele.
NB: Nimekubali yaishe ila nywele kupaka black ni big no. Najikubali, kwanza ukiwa mweupe na ukawa na nywele za kizungu (nyekundu) ni bonge la mvuto, mradi tu ziwe safi.
Ila kwa nyie weusi halafu mkawa na nywele nyekundu kwa kweli ni kituko mno (samahanini kwa kusema hili). Siku hizi kuna rate ya watu wengi weusi kuwa na nywele nyekundu, huo ni uchafu, ni kituko.
I think ukiwa mweusi na ukawa na nywele nyekundu super black itakufaa sana. Unlike kwa mtu mweupe kama mimi.
Mwenye kujua dawa tiririka weusi wapone.
Para ndiyo kabisaaa nitatisha[emoji38] hapa ni mwendo wa matunzo tu. Ila rangi itabaki tu nyekundu hivi hivi, kikubwa sina mba wala ukurutu na uchafu mwingine kichwani.hamna namna zaidi ya kujikubali mkuu.... unaeza nyoa para na usipendeze
fatilia matunzo ya nywele za aina yako uwe unaziweka vizuri....
hiyo safi ili atakaekupenda akupende na uhalisia wakoNajikubali kabisa ndugu yangu. Hapa hakuna cha super black wala nini
Hahahahahahahah uwe unasahau basi!Yaani unatongoza wasichana huko kanisani umewakosa?
Kabisa. Na ndiyo main target,hiyo safi ili atakaekupenda akupende na uhalisia wako
pita pita mitandaoni kuna wataalam wa nywele lazima nywele kama zako zina namna ya kutunzaPara ndiyo kabisaaa nitatisha[emoji38] hapa ni mwendo wa matunzo tu. Ila rangi itabaki tu nyekundu hivi hivi, kikubwa sina mba wala ukurutu na uchafu mwingine kichwani.
Anyway napambana
kila la heri utampata tu unaemtafutaKabisa. Na ndiyo main target,