Mwezi huu nimekataliwa na warembo 4 kwa sababu ya kuwa na nywele nyekundu

Pesa unazo za kutosha??
Au ni pesa zile za kulalamika huyu demu anapenda sana sana😏

Mpe vitu anavyotaka uongeze na ambavyo hajasema halafu urudi kutuambia😅😅
Mwanamke kama sio mke wangu na haishi kwangu nitampiga mbupu tuu aende zake, kama hataki akajambe mbele huko.

swala la kumuhudumia aende akaongee na wazazi wake vizuri maana ni wajibu wao huo, mie ntampa asicho pewa na wazazi wake tu ,tusibebeshane majukumu yasiyo yetu.
 
Maneno makavu mno haya
 
Yaani unatongoza wasichana huko kanisani umewakosa?
 
hamna namna zaidi ya kujikubali mkuu.... unaeza nyoa para na usipendeze

fatilia matunzo ya nywele za aina yako uwe unaziweka vizuri....
Para ndiyo kabisaaa nitatisha[emoji38] hapa ni mwendo wa matunzo tu. Ila rangi itabaki tu nyekundu hivi hivi, kikubwa sina mba wala ukurutu na uchafu mwingine kichwani.

Anyway napambana
 
Para ndiyo kabisaaa nitatisha[emoji38] hapa ni mwendo wa matunzo tu. Ila rangi itabaki tu nyekundu hivi hivi, kikubwa sina mba wala ukurutu na uchafu mwingine kichwani.

Anyway napambana
pita pita mitandaoni kuna wataalam wa nywele lazima nywele kama zako zina namna ya kutunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…