mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
- Thread starter
-
- #61
Mkuu unafikiri hapo katika kutunza kuna alternative ya kuzifanya nyeusi? Hapana, ndiyo mwanzo wa kutumia super blacks na dawa nyinginepita pita mitandaoni kuna wataalam wa nywele lazima nywele kama zako zina namna ya kutunza
Sawa kaka. Ahsante sana!kila la heri utampata tu unaemtafuta
Mwanamke kama sio mke wangu na haishi kwangu nitampiga mbupu tuu aende zake, kama hataki akajambe mbele huko.
swala la kumuhudumia aende akaongee na wazazi wake vizuri maana ni wajibu wao huo, mie ntampa asicho pewa na wazazi wake tu ,tusibebeshane majukumu yasiyo yetu.
Wewe tafuta hela tu. Mwanamke hakatai mwanamke mwenye hela. Ukiona mwanamke anakutaa rudi tena Tafuta pesaUmesoma uzi wote au umekurupuka boss?[emoji38]
Hujajibu swali!.Wewe tafuta hela tu. Mwanamke hakatai mwanamke mwenye hela. Ukiona mwanamke anakutaa rudi tena Tafuta pesa
Hahahaha kipara hata kusikia sihitajiNyoa kipara mkuu
Jikubali
Kubali yaishe mkuu.Jamani hali gani?
Niruke kwenye hoja yangu. Mimi ni mwanaume handsome tu safi, ninajua kuvaa na nina vihela vya kubadili mboga na tugari. Nimekuwa nikipata shida mno kupata mwanamke wa kuingia naye mahusianoni kwa sababu ya shida yangu ya nywele nyekundu.
Nina nywele nyekundu ndiyo, ila si kipili pili yaani zile za kujiviriga viriga na kuwa 'tim tim'. Nikichana zinachanika fresh na zinakuwa level safi tu, shida ni rangi yake nyekundu. Daaah! Yaani naandika huku nacheka na sijui kwa nini!
Simply tu nimegundua warembo wanaangalia mno nywele, na ndiyo maana vijana wengi wa sasa wanawekeza sana kwenye mitindo ya nywele na rangi. Siku hizi hakuna kitu kinachouzika madukani kama super blacks, zamani ilikuwa wateja ni wazee, ila nowadays ni vijana wenzetu ndiyo wateja.
Anyway nimejikubali na kuikubali hali yangu ya nywele, nimekataa kutumia super blacks na taka taka nyingine.
Kutokana na mazingira niliyokutana nao hawa mabinti, ilikuwa si rahisi kunijua kwa ukaribu hivyo hawakujua kuwa nina tuchenji, walianza kunihukumu kwa rangi ya nywele.
NB: Nimekubali yaishe ila nywele kupaka black ni big no. Najikubali, kwanza ukiwa mweupe na ukawa na nywele za kizungu (nyekundu) ni bonge la mvuto, mradi tu ziwe safi.
Ila kwa nyie weusi halafu mkawa na nywele nyekundu kwa kweli ni kituko mno (samahanini kwa kusema hili). Siku hizi kuna rate ya watu wengi weusi kuwa na nywele nyekundu, huo ni uchafu, ni kituko.
I think ukiwa mweusi na ukawa na nywele nyekundu super black itakufaa sana. Unlike kwa mtu mweupe kama mimi.
Mwenye kujua dawa tiririka weusi wapone.
Kubali yaishe mkuu.Jamani hali gani?
Niruke kwenye hoja yangu. Mimi ni mwanaume handsome tu safi, ninajua kuvaa na nina vihela vya kubadili mboga na tugari. Nimekuwa nikipata shida mno kupata mwanamke wa kuingia naye mahusianoni kwa sababu ya shida yangu ya nywele nyekundu.
Nina nywele nyekundu ndiyo, ila si kipili pili yaani zile za kujiviriga viriga na kuwa 'tim tim'. Nikichana zinachanika fresh na zinakuwa level safi tu, shida ni rangi yake nyekundu. Daaah! Yaani naandika huku nacheka na sijui kwa nini!
Simply tu nimegundua warembo wanaangalia mno nywele, na ndiyo maana vijana wengi wa sasa wanawekeza sana kwenye mitindo ya nywele na rangi. Siku hizi hakuna kitu kinachouzika madukani kama super blacks, zamani ilikuwa wateja ni wazee, ila nowadays ni vijana wenzetu ndiyo wateja.
Anyway nimejikubali na kuikubali hali yangu ya nywele, nimekataa kutumia super blacks na taka taka nyingine.
Kutokana na mazingira niliyokutana nao hawa mabinti, ilikuwa si rahisi kunijua kwa ukaribu hivyo hawakujua kuwa nina tuchenji, walianza kunihukumu kwa rangi ya nywele.
NB: Nimekubali yaishe ila nywele kupaka black ni big no. Najikubali, kwanza ukiwa mweupe na ukawa na nywele za kizungu (nyekundu) ni bonge la mvuto, mradi tu ziwe safi.
Ila kwa nyie weusi halafu mkawa na nywele nyekundu kwa kweli ni kituko mno (samahanini kwa kusema hili). Siku hizi kuna rate ya watu wengi weusi kuwa na nywele nyekundu, huo ni uchafu, ni kituko.
I think ukiwa mweusi na ukawa na nywele nyekundu super black itakufaa sana. Unlike kwa mtu mweupe kama mimi.
Mwenye kujua dawa tiririka weusi wapone.
Hahahaaa mimi kukataliwa na kukubaliwa na mwanamke ni sunna na huwa silazimishi wa kubembeleza kwa sababu ile ni huduma tu na mliumbwa kwa ajili yetu kwa matumizi hayo na ya ziadaAcha hasira
Wa kupiga mbupu utapata na wakukataa utapata pia, usilalamike kukataliwa
Kila la kheri Mkuu 👏👏Sahihi kabisa kaka. Shukrani!
Hahahaha hiyo nilishaikataa bhanaKubali yaishe mkuu.
Njoo Sinza tukupake super black umalize hiyo nuksi
Jamani hali gani?
Niruke kwenye hoja yangu. Mimi ni mwanaume handsome tu safi, ninajua kuvaa na nina vihela vya kubadili mboga na tugari. Nimekuwa nikipata shida mno kupata mwanamke wa kuingia naye mahusianoni kwa sababu ya shida yangu ya nywele nyekundu.
Nina nywele nyekundu ndiyo, ila si kipili pili yaani zile za kujiviriga viriga na kuwa 'tim tim'. Nikichana zinachanika fresh na zinakuwa level safi tu, shida ni rangi yake nyekundu. Daaah! Yaani naandika huku nacheka na sijui kwa nini!
Simply tu nimegundua warembo wanaangalia mno nywele, na ndiyo maana vijana wengi wa sasa wanawekeza sana kwenye mitindo ya nywele na rangi. Siku hizi hakuna kitu kinachouzika madukani kama super blacks, zamani ilikuwa wateja ni wazee, ila nowadays ni vijana wenzetu ndiyo wateja.
Anyway nimejikubali na kuikubali hali yangu ya nywele, nimekataa kutumia super blacks na taka taka nyingine.
Kutokana na mazingira niliyokutana nao hawa mabinti, ilikuwa si rahisi kunijua kwa ukaribu hivyo hawakujua kuwa nina tuchenji, walianza kunihukumu kwa rangi ya nywele.
NB: Nimekubali yaishe ila nywele kupaka black ni big no. Najikubali, kwanza ukiwa mweupe na ukawa na nywele za kizungu (nyekundu) ni bonge la mvuto, mradi tu ziwe safi.
Ila kwa nyie weusi halafu mkawa na nywele nyekundu kwa kweli ni kituko mno (samahanini kwa kusema hili). Siku hizi kuna rate ya watu wengi weusi kuwa na nywele nyekundu, huo ni uchafu, ni kituko.
I think ukiwa mweusi na ukawa na nywele nyekundu super black itakufaa sana. Unlike kwa mtu mweupe kama mimi.
Mwenye kujua dawa tiririka weusi wapone.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duvi?Hwqogopi nywele nahisi wanaogopa una chembechembe za ualibino,umesema mweupe nywele nyekundu ni wale Jamii wanawaita duvi,nimependa unajikubali utapata tu atakae kupenda kwa ulivyo.
Eeeh prawns ni English kiswahili Duvi au Uduvi ndo watu weupe nywele nyekundu na ngozi wanaitwa duvi wengine wanakuwa sio wekundu sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duvi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeeh prawns ni English kiswahili Duvi au Uduvi ndo watu weupe nywele nyekundu na ngozi wanaitwa duvi wengine wanakuwa sio wekundu sana.