Mwezi huu nimekataliwa na warembo 4 kwa sababu ya kuwa na nywele nyekundu

pole, wewe ni mtu wa singida? singida kule kuna watu wengine wanakuwa weupe hadi nywele zinakuwa brown kidogo, ila ngozi yao ni ya kawaida, sio kwamba nawabagua ila kwa wema tu wengine huwa wanafikiri wana ulemavu wa ngozi. nyoa para tu nafikiri.
 
pole, wewe ni mtu wa singida? singida kule kuna watu wengine wanakuwa weupe hadi nywele zinakuwa brown kidogo, ila ngozi yao ni ya kawaida, sio kwamba nawabagua ila kwa wema tu wengine huwa wanafikiri wana ulemavu wa ngozi. nyoa para tu nafikiri.
Mkuu hapa halinyolewi para wala nini
 
Pesa unazo za kutosha??
Au ni pesa zile za kulalamika huyu demu anapenda sana sana😏

Mpe vitu anavyotaka uongeze na ambavyo hajasema halafu urudi kutuambia😅😅
Acha kumtesa kijana mwenzanguu. Alafu acha kumwambia ukweliii🤣🤣🤣🤣
 
Wekundu wa nywele zako unawaogopesha wahisi labda una element za ualbino chief [emoji23][emoji23]
 
Wewe tafuta hela tu. Nakupa yangu Sasa Mimi Ni mfupi wa futi 5, Nina kichwa cha bara (yaani chogo) , Nina kililipili kile chenyewe, Bado Ni mweusi tii na masikio kma ungo lakin baby zinaniita handsome boy [emoji4][emoji4] tafuta hell tu acha kulalamika
 
Mbona uandishi wako unakukataa? Pesa haijifichi bhana. Wewe kajamba nani tu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
We huna hela. Na kama unazo, basi bahili au unanuka mdomo. Full stop.
Ebana nywele nyekundu si uziweke fupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…