Mwezi jana nilitembea na ndugu wa mke wangu ambaye pia kaolewa, alikuwa analipiza kisasi kwa mke wangu

Mwezi jana nilitembea na ndugu wa mke wangu ambaye pia kaolewa, alikuwa analipiza kisasi kwa mke wangu

Umeandika uzi kama vile wewe unashangaa na waona ndugu wa mkeo kakosea baada ya kuliwa na wewe lakini si vice versa kwamba huoni wewe umekosea...
 
Sasa ndgu yangu ulimgegeda huyo mwanamama kwa misingi ipi??
Tamaa zako kingono??
Kumsaidia kulipa kisasi??
Mlitamaniana??
Tunda kimasiahara??

Unamshangaa yeye wakati na wewe ni walewale tu. Bora yake ana sababu kua analipa kisasi wewe umetumiwa kama chambo tu.
"Akili zako unazijua mwenyewe"
 
Sasa hapo un
Habarini wana jamvi. ..

Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha anacomment ba mdogo umependeza!Basi siku moja nikamchek inbox akajitambulisha yeye anamuita wife shangazi! Nikaja kumdodosa wife kiaina akakubali kwamba ni ndugu kabisa.

Siku zimeenda hivyo siku moja nikamuuliza lini kututembelea hapa kwetu uje umpe hi shangazi yako?AKAJIBU hawezi kufika hapa nyumbani .Nikamuuliza sasa mimi nitakufamu vp AKAJIBU kama nipo tayari nitafute sehemu nyingine ya kukutania ila hayupo tayari kuja nyumbani maana wife alishawahi kumtenda miaka kadhaa kabla hawajaolewa!

Katika kumdodosa akasema ilitokea wife akatembea na jamaa yake mmoja KITENDO ambacho kilimuumiza sana.Basi kumbe wakati tunachat tayari alikuwa kishapanga ratiba ya kuja kijijini kwao kuhani.Nikaandaa mazingira ya kutoka tukawa tumekutana lodge fulani hivi.Usiku ule nilimfanya sana na wakati natafuta bao la nne mmewe akapiga simu ila akaishia kupigwa fix tu.

Mwisho yule mwanamke akasema isingetokea kutembea na mimi ila kitendo cha wife kuliwa na jamaa yake kilimuumiza sana!Ila sasa kinachonishangaza anapocomnent picha za wife facebook anamuonyesha heshima zote!

Wanawake waacheni tu akili zao wanazijua wao
etatua tatizo au umeongeza?jiandae kuaibika
 
Habarini wana jamvi. ..

Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha anacomment ba mdogo umependeza!Basi siku moja nikamchek inbox akajitambulisha yeye anamuita wife shangazi! Nikaja kumdodosa wife kiaina akakubali kwamba ni ndugu kabisa.

Siku zimeenda hivyo siku moja nikamuuliza lini kututembelea hapa kwetu uje umpe hi shangazi yako?AKAJIBU hawezi kufika hapa nyumbani .Nikamuuliza sasa mimi nitakufamu vp AKAJIBU kama nipo tayari nitafute sehemu nyingine ya kukutania ila hayupo tayari kuja nyumbani maana wife alishawahi kumtenda miaka kadhaa kabla hawajaolewa!

Katika kumdodosa akasema ilitokea wife akatembea na jamaa yake mmoja KITENDO ambacho kilimuumiza sana.Basi kumbe wakati tunachat tayari alikuwa kishapanga ratiba ya kuja kijijini kwao kuhani.Nikaandaa mazingira ya kutoka tukawa tumekutana lodge fulani hivi.Usiku ule nilimfanya sana na wakati natafuta bao la nne mmewe akapiga simu ila akaishia kupigwa fix tu.

Mwisho yule mwanamke akasema isingetokea kutembea na mimi ila kitendo cha wife kuliwa na jamaa yake kilimuumiza sana!Ila sasa kinachonishangaza anapocomnent picha za wife facebook anamuonyesha heshima zote!

Wanawake waacheni tu akili zao wanazijua wao
Lazima atakuja kumtambishia mke wako kwamba kashaa maliza ugimvi kwa kulipiza kisasi kutembea na wewe.
 
Wanaume ifike mahali msimame katika uanaume wenu na msiyumbishe na sisi. Take the high road.

Yaani kukwambia tu hayupo Sawa na mke wako ukampeleka lodge mkafahamiane na unajisifia kabisa ulimfanya sana.

Sasa hapo mjinga nani? Na ume achieve nini? Badala ya kuwapatanisha upo unachekelea.

Kuna katusi kanakuja kanakataa lkn sikuachii hivi hivi shubaaaamit.
 
Sasa wewe ulitaka aonyeshe dharau kwa kumwambia mkeo kwamba umemvua chupi!? 😳
Habarini wana jamvi. ..

Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha anacomment ba mdogo umependeza!Basi siku moja nikamchek inbox akajitambulisha yeye anamuita wife shangazi! Nikaja kumdodosa wife kiaina akakubali kwamba ni ndugu kabisa.

Siku zimeenda hivyo siku moja nikamuuliza lini kututembelea hapa kwetu uje umpe hi shangazi yako?AKAJIBU hawezi kufika hapa nyumbani .Nikamuuliza sasa mimi nitakufamu vp AKAJIBU kama nipo tayari nitafute sehemu nyingine ya kukutania ila hayupo tayari kuja nyumbani maana wife alishawahi kumtenda miaka kadhaa kabla hawajaolewa!

Katika kumdodosa akasema ilitokea wife akatembea na jamaa yake mmoja KITENDO ambacho kilimuumiza sana.Basi kumbe wakati tunachat tayari alikuwa kishapanga ratiba ya kuja kijijini kwao kuhani.Nikaandaa mazingira ya kutoka tukawa tumekutana lodge fulani hivi.Usiku ule nilimfanya sana na wakati natafuta bao la nne mmewe akapiga simu ila akaishia kupigwa fix tu.

Mwisho yule mwanamke akasema isingetokea kutembea na mimi ila kitendo cha wife kuliwa na jamaa yake kilimuumiza sana!Ila sasa kinachonishangaza anapocomnent picha za wife facebook anamuonyesha heshima zote!

Wanawake waacheni tu akili zao wanazijua wao
 
Habarini wana jamvi. ..

Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha anacomment ba mdogo umependeza!Basi siku moja nikamchek inbox akajitambulisha yeye anamuita wife shangazi! Nikaja kumdodosa wife kiaina akakubali kwamba ni ndugu kabisa.

Siku zimeenda hivyo siku moja nikamuuliza lini kututembelea hapa kwetu uje umpe hi shangazi yako?AKAJIBU hawezi kufika hapa nyumbani .Nikamuuliza sasa mimi nitakufamu vp AKAJIBU kama nipo tayari nitafute sehemu nyingine ya kukutania ila hayupo tayari kuja nyumbani maana wife alishawahi kumtenda miaka kadhaa kabla hawajaolewa!

Katika kumdodosa akasema ilitokea wife akatembea na jamaa yake mmoja KITENDO ambacho kilimuumiza sana.Basi kumbe wakati tunachat tayari alikuwa kishapanga ratiba ya kuja kijijini kwao kuhani.Nikaandaa mazingira ya kutoka tukawa tumekutana lodge fulani hivi.Usiku ule nilimfanya sana na wakati natafuta bao la nne mmewe akapiga simu ila akaishia kupigwa fix tu.

Mwisho yule mwanamke akasema isingetokea kutembea na mimi ila kitendo cha wife kuliwa na jamaa yake kilimuumiza sana!Ila sasa kinachonishangaza anapocomnent picha za wife facebook anamuonyesha heshima zote!

Wanawake waacheni tu akili zao wanazijua wao
Hata mkeo si anakujeshimu sana, ila anagongwa
 
Wanaume ifike mahali msimame katika uanaume wenu na msiyumbishe na sisi. Take the high road.

Yaani kukwambia tu hayupo Sawa na mke wako ukampeleka lodge mkafahamiane na unajisifia kabisa ulimfanya sana.

Sasa hapo mjinga nani? Na ume achieve nini? Badala ya kuwapatanisha upo unachekelea.

Kuna katusi kanakuja kanakataa lkn sikuachii hivi hivi shubaaaamit.
Tulia wewe wahuni wapeleke moto[emoji95][emoji95]
 
Halafu unaweza kukuta kweli wewe ni mume wa mtu, haki kuna wanawake wana mafurushi[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]
 
Habarini wana jamvi. ..

Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha anacomment ba mdogo umependeza!Basi siku moja nikamchek inbox akajitambulisha yeye anamuita wife shangazi! Nikaja kumdodosa wife kiaina akakubali kwamba ni ndugu kabisa.

Siku zimeenda hivyo siku moja nikamuuliza lini kututembelea hapa kwetu uje umpe hi shangazi yako?AKAJIBU hawezi kufika hapa nyumbani .Nikamuuliza sasa mimi nitakufamu vp AKAJIBU kama nipo tayari nitafute sehemu nyingine ya kukutania ila hayupo tayari kuja nyumbani maana wife alishawahi kumtenda miaka kadhaa kabla hawajaolewa!

Katika kumdodosa akasema ilitokea wife akatembea na jamaa yake mmoja KITENDO ambacho kilimuumiza sana.Basi kumbe wakati tunachat tayari alikuwa kishapanga ratiba ya kuja kijijini kwao kuhani.Nikaandaa mazingira ya kutoka tukawa tumekutana lodge fulani hivi.Usiku ule nilimfanya sana na wakati natafuta bao la nne mmewe akapiga simu ila akaishia kupigwa fix tu.

Mwisho yule mwanamke akasema isingetokea kutembea na mimi ila kitendo cha wife kuliwa na jamaa yake kilimuumiza sana!Ila sasa kinachonishangaza anapocomnent picha za wife facebook anamuonyesha heshima zote!

Wanawake waacheni tu akili zao wanazijua wao
Mkuu hii kitu kwa uzoefu wangu itakugarimu sanaaa maana lengo lake ni kumkomoa sasa anaetakiwa kukomolewa bado hajakomoleka maana hajui so kifuatacho ITV binti atafanya namna ili mkeo ajue hilo ili lengo lake la kumkomoa litimie kwa hiyo get it in uour mind that the game is far from over
 
Back
Top Bottom