Pre GE2025 Mwezi mmoja baada ya uchaguzi, Mbowe yuko kimya lakini CHADEMA wanakanyagana

Pre GE2025 Mwezi mmoja baada ya uchaguzi, Mbowe yuko kimya lakini CHADEMA wanakanyagana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu wanachadema, naomba tuache kuwa na ulevi wa ushindi wa uchaguzi hasa kwa timu Lisu, sis raia tulitarajia baada ya uchaguzi chadema ingebaki kitu kimoja, lakini kwa bahati mbaya naona jambo hili limekuwa gumu na hasa kwa Viongozi kulitengenezea utaratibu ili wanachama kubaki wamoja. Nitaongelea maswala kadhaa ili kuleta uelewa msingi wa kinachoendelea:
  1. Naomba ifahamike kwamba kuongoza chama kikubwa kama Chadema siyo jambo jepesi kama watu wengi wanavyodhani , hivyo wale wanaozalisha hila na tuhuma kuhusu m/kiti wa zamani nashauri waache, kwani wanayofanya sasa hivi hawamsaidii TAL wala timu yake.
  2. Toka wakati wa kampeni tulishuhudia nguvu kubwa ya kampeni ya Timu Lisu ambapo hata walikuwa wakitishia kujitoa kwanye Chama iwapo Mh TAL hatoshinda na kwamba ilianza kutengeneza hila kuwa Mh Mbowe angelazimisha ushindi wa mizengwe dhidi ya mshindani wake. (Kumbe TImu Lisu walikuja kwenye uchaguzi kwaajili ya ushindi wa mtu na siyo chama.)
  3. Ushindi wa Mh Lisu dhidi ya Mh Mbowe ulikuwa na margin ndogo sana, na ukizingatia style ya kampain iliyotumika wakati uchaguzi haikuwa ya kistaarabu (yaani ililenga kukipasua chama), hivyo Mh TAL alitakiwa baada tu ya kutangazwa mshindi awe muangalifu sana kwenye kauli anazotoa ten kwani kama M/kiti mpya angeonyesha kama anamuhitaji kila mmoja hata wale ambao hawajamchagua kwaajili ya mstakabali mwema wa chama kitu ambacho, yeye na wapambe wake walitumia muda huo vibaya kwa kujipongeza as if walikuwa wanashindana dhidi CCM.
  4. Nitoe angalizo kuna wafuasi wa TAL and Heche ambao wengine wala siyo wanachama na waliyo wanachama ni wing ya Vijana, ambao unaona wapo tayari kuendeleza ile vita ya wakati wa kampeni hadi sasa hivi ambapo kimsingi kwa kujua au kutokujua inapelekea chama kukosa nguvu ya ushawishi.
  5. CCM na vyombo vyake wameanza kuwatest kwa tukio lile la Mwanza la kutekwa kwa kiongozi na watu wasiojulikana, ukilinganisha na namna mlivyokuwa mnaonyesha uchungu wakati wa kampeni na Mbowe kuwa ameshindwa usubutu wa kufanya jambo , naona majibu wameshayapata kuwa hata hii timu mpya hawana kitu kipya juu ya kupambana na upoteaji wa watu hivyo kuna uwezekano haya mabo yakaendelea
  6. Jambo la jingine ni kwamba, mwaka jana Mh. Lisu na Timu yake walitumia muda mwingi sana kukipasua chama na kutengeneza mazingira kuwa Mh Mbowe amepoteza ushawishi , kumbe wao ndiyo waliyokuwa hawampi ushirikiano (hujumu) m/k wa zamani ili kufanikisha agenda yao ya kiuchaguzi. sasa siyo muda wa kulialia na Mbowe tena jengeni chama na kama kuna watu mnahisi mmewatendea sivyo basi tafuta watu wenye busara ili kuyamaliza (Inawezekana wewe ndiyo unawhitaji zaidi kuliko waowanavyokuhitaji(Kule CCM watu huwa wanajishusha kwaajili ya maslahi yaoya kiuchumi na nafasi za kisiasa))
  7. Na jambo la mwisho n1 kwamba. Mh Mbowe ana hadhi yake ndani ya Chadema na nje ya chama hata kama yupo pembeni, japo tupo katika zama za Demokrasia lakini siyo kila mtu ndani chama anaweza weza kumbagaza na kumtungiatungia tuhuma kama hao mahasimu wanavyotaka, kwani kwa kufanya hivyo wanakiumiza chama na si vinevyo.
  8. Na mwisho kabisa kama haya yote yanafanyika kwa makusidi ili kurecruit wanacham wapya that well and good lakini chama kitachukua muda mrefu kurudi kwenye peak
 
Ndugu zangu wanachadema, naomba tuache kuwa na ulevi wa ushindi wa uchaguzi hasa kwa timu Lisu, sis raia tulitarajia baada ya uchaguzi chadema ingebaki kitu kimoja, lakini kwa bahati mbaya naona jambo hili limekuwa gumu na hasa kwa Viongozi kulitengenezea utaratibu ili wanachama kubaki wamoja. Nitaongelea maswala kadhaa ili kuleta uelewa msingi wa kinachoendelea:
  1. Naomba ifahamike kwamba kuongoza chama kikubwa kama Chadema siyo jambo jepesi kama watu wengi wanavyodhani , hivyo wale wanaozalisha hila na tuhuma kuhusu m/kiti wa zamani nashauri waache, kwani wanayofanya sasa hivi hawamsaidii TAL wala timu yake.
  2. Toka wakati wa kampeni tulishuhudia nguvu kubwa ya kampeni ya Timu Lisu ambapo hata walikuwa wakitishia kujitoa kwanye Chama iwapo Mh TAL hatoshinda na kwamba ilianza kutengeneza hila kuwa Mh Mbowe angelazimisha ushindi wa mizengwe dhidi ya mshindani wake. (Kumbe TImu Lisu walikuja kwenye uchaguzi kwaajili ya ushindi wa mtu na siyo chama.)
  3. Ushindi wa Mh Lisu dhidi ya Mh Mbowe ulikuwa na margin ndogo sana, na ukizingatia style ya kampain iliyotumika wakati uchaguzi haikuwa ya kistaarabu (yaani ililenga kukipasua chama), hivyo Mh TAL alitakiwa baada tu ya kutangazwa mshindi awe muangalifu sana kwenye kauli anazotoa ten kwani kama M/kiti mpya angeonyesha kama anamuhitaji kila mmoja hata wale ambao hawajamchagua kwaajili ya mstakabali mwema wa chama kitu ambacho, yeye na wapambe wake walitumia muda huo vibaya kwa kujipongeza as if walikuwa wanashindana dhidi CCM.
  4. Nitoe angalizo kuna wafuasi wa TAL and Heche ambao wengine wala siyo wanachama na waliyo wanachama ni wing ya Vijana, ambao unaona wapo tayari kuendeleza ile vita ya wakati wa kampeni hadi sasa hivi ambapo kimsingi kwa kujua au kutokujua inapelekea chama kukosa nguvu ya ushawishi.
  5. CCM na vyombo vyake wameanza kuwatest kwa tukio lile la Mwanza la kutekwa kwa kiongozi na watu wasiojulikana, ukilinganisha na namna mlivyokuwa mnaonyesha uchungu wakati wa kampeni na Mbowe kuwa ameshindwa usubutu wa kufanya jambo , naona majibu wameshayapata kuwa hata hii timu mpya hawana kitu kipya juu ya kupambana na upoteaji wa watu hivyo kuna uwezekano haya mabo yakaendelea
  6. Jambo la jingine ni kwamba, mwaka jana Mh. Lisu na Timu yake walitumia muda mwingi sana kukipasua chama na kutengeneza mazingira kuwa Mh Mbowe amepoteza ushawishi , kumbe wao ndiyo waliyokuwa hawampi ushirikiano (hujumu) m/k wa zamani ili kufanikisha agenda yao ya kiuchaguzi. sasa siyo muda wa kulialia na Mbowe tena jengeni chama na kama kuna watu mnahisi mmewatendea sivyo basi tafuta watu wenye busara ili kuyamaliza (Inawezekana wewe ndiyo unawhitaji zaidi kuliko waowanavyokuhitaji(Kule CCM watu huwa wanajishusha kwaajili ya maslahi yaoya kiuchumi na nafasi za kisiasa))
  7. Na jambo la mwisho n1 kwamba. Mh Mbowe ana hadhi yake ndani ya Chadema na nje ya chama hata kama yupo pembeni, japo tupo katika zama za Demokrasia lakini siyo kila mtu ndani chama anaweza weza kumbagaza na kumtungiatungia tuhuma kama hao mahasimu wanavyotaka, kwani kwa kufanya hivyo wanakiumiza chama na si vinevyo.
  8. Na mwisho kabisa kama haya yote yanafanyika kwa makusidi ili kurecruit wanacham wapya that well and good lakini chama kitachukua muda mrefu kurudi kwenye peak
Umeongea kweli,hawa jamaa badala waponye majeraha yaliyotokana na uchaguzi bado wanaendelea na visasi,kila wakishindwa chochote wanaanza kumtafuta Mbowe kama mkwamishaji.Hawa sio viongozi bali ni walalamikaji
 
Ndugu zangu wanachadema, naomba tuache kuwa na ulevi wa ushindi wa uchaguzi hasa kwa timu Lisu, sis raia tulitarajia baada ya uchaguzi chadema ingebaki kitu kimoja, lakini kwa bahati mbaya naona jambo hili limekuwa gumu na hasa kwa Viongozi kulitengenezea utaratibu ili wanachama kubaki wamoja. Nitaongelea maswala kadhaa ili kuleta uelewa msingi wa kinachoendelea:
  1. Naomba ifahamike kwamba kuongoza chama kikubwa kama Chadema siyo jambo jepesi kama watu wengi wanavyodhani , hivyo wale wanaozalisha hila na tuhuma kuhusu m/kiti wa zamani nashauri waache, kwani wanayofanya sasa hivi hawamsaidii TAL wala timu yake.
  2. Toka wakati wa kampeni tulishuhudia nguvu kubwa ya kampeni ya Timu Lisu ambapo hata walikuwa wakitishia kujitoa kwanye Chama iwapo Mh TAL hatoshinda na kwamba ilianza kutengeneza hila kuwa Mh Mbowe angelazimisha ushindi wa mizengwe dhidi ya mshindani wake. (Kumbe TImu Lisu walikuja kwenye uchaguzi kwaajili ya ushindi wa mtu na siyo chama.)
  3. Ushindi wa Mh Lisu dhidi ya Mh Mbowe ulikuwa na margin ndogo sana, na ukizingatia style ya kampain iliyotumika wakati uchaguzi haikuwa ya kistaarabu (yaani ililenga kukipasua chama), hivyo Mh TAL alitakiwa baada tu ya kutangazwa mshindi awe muangalifu sana kwenye kauli anazotoa ten kwani kama M/kiti mpya angeonyesha kama anamuhitaji kila mmoja hata wale ambao hawajamchagua kwaajili ya mstakabali mwema wa chama kitu ambacho, yeye na wapambe wake walitumia muda huo vibaya kwa kujipongeza as if walikuwa wanashindana dhidi CCM.
  4. Nitoe angalizo kuna wafuasi wa TAL and Heche ambao wengine wala siyo wanachama na waliyo wanachama ni wing ya Vijana, ambao unaona wapo tayari kuendeleza ile vita ya wakati wa kampeni hadi sasa hivi ambapo kimsingi kwa kujua au kutokujua inapelekea chama kukosa nguvu ya ushawishi.
  5. CCM na vyombo vyake wameanza kuwatest kwa tukio lile la Mwanza la kutekwa kwa kiongozi na watu wasiojulikana, ukilinganisha na namna mlivyokuwa mnaonyesha uchungu wakati wa kampeni na Mbowe kuwa ameshindwa usubutu wa kufanya jambo , naona majibu wameshayapata kuwa hata hii timu mpya hawana kitu kipya juu ya kupambana na upoteaji wa watu hivyo kuna uwezekano haya mabo yakaendelea
  6. Jambo la jingine ni kwamba, mwaka jana Mh. Lisu na Timu yake walitumia muda mwingi sana kukipasua chama na kutengeneza mazingira kuwa Mh Mbowe amepoteza ushawishi , kumbe wao ndiyo waliyokuwa hawampi ushirikiano (hujumu) m/k wa zamani ili kufanikisha agenda yao ya kiuchaguzi. sasa siyo muda wa kulialia na Mbowe tena jengeni chama na kama kuna watu mnahisi mmewatendea sivyo basi tafuta watu wenye busara ili kuyamaliza (Inawezekana wewe ndiyo unawhitaji zaidi kuliko waowanavyokuhitaji(Kule CCM watu huwa wanajishusha kwaajili ya maslahi yaoya kiuchumi na nafasi za kisiasa))
  7. Na jambo la mwisho n1 kwamba. Mh Mbowe ana hadhi yake ndani ya Chadema na nje ya chama hata kama yupo pembeni, japo tupo katika zama za Demokrasia lakini siyo kila mtu ndani chama anaweza weza kumbagaza na kumtungiatungia tuhuma kama hao mahasimu wanavyotaka, kwani kwa kufanya hivyo wanakiumiza chama na si vinevyo.
  8. Na mwisho kabisa kama haya yote yanafanyika kwa makusidi ili kurecruit wanacham wapya that well and good lakini chama kitachukua muda mrefu kurudi kwenye peak
Nafuu unewapa ushauri mzuri, ni juu yao kuufanyia kazi au ku IGNORE
 
Ndugu zangu wanachadema, naomba tuache kuwa na ulevi wa ushindi wa uchaguzi hasa kwa timu Lisu, sis raia tulitarajia baada ya uchaguzi chadema ingebaki kitu kimoja, lakini kwa bahati mbaya naona jambo hili limekuwa gumu na hasa kwa Viongozi kulitengenezea utaratibu ili wanachama kubaki wamoja. Nitaongelea maswala kadhaa ili kuleta uelewa msingi wa kinachoendelea:
  1. Naomba ifahamike kwamba kuongoza chama kikubwa kama Chadema siyo jambo jepesi kama watu wengi wanavyodhani , hivyo wale wanaozalisha hila na tuhuma kuhusu m/kiti wa zamani nashauri waache, kwani wanayofanya sasa hivi hawamsaidii TAL wala timu yake.
  2. Toka wakati wa kampeni tulishuhudia nguvu kubwa ya kampeni ya Timu Lisu ambapo hata walikuwa wakitishia kujitoa kwanye Chama iwapo Mh TAL hatoshinda na kwamba ilianza kutengeneza hila kuwa Mh Mbowe angelazimisha ushindi wa mizengwe dhidi ya mshindani wake. (Kumbe TImu Lisu walikuja kwenye uchaguzi kwaajili ya ushindi wa mtu na siyo chama.)
  3. Ushindi wa Mh Lisu dhidi ya Mh Mbowe ulikuwa na margin ndogo sana, na ukizingatia style ya kampain iliyotumika wakati uchaguzi haikuwa ya kistaarabu (yaani ililenga kukipasua chama), hivyo Mh TAL alitakiwa baada tu ya kutangazwa mshindi awe muangalifu sana kwenye kauli anazotoa ten kwani kama M/kiti mpya angeonyesha kama anamuhitaji kila mmoja hata wale ambao hawajamchagua kwaajili ya mstakabali mwema wa chama kitu ambacho, yeye na wapambe wake walitumia muda huo vibaya kwa kujipongeza as if walikuwa wanashindana dhidi CCM.
  4. Nitoe angalizo kuna wafuasi wa TAL and Heche ambao wengine wala siyo wanachama na waliyo wanachama ni wing ya Vijana, ambao unaona wapo tayari kuendeleza ile vita ya wakati wa kampeni hadi sasa hivi ambapo kimsingi kwa kujua au kutokujua inapelekea chama kukosa nguvu ya ushawishi.
  5. CCM na vyombo vyake wameanza kuwatest kwa tukio lile la Mwanza la kutekwa kwa kiongozi na watu wasiojulikana, ukilinganisha na namna mlivyokuwa mnaonyesha uchungu wakati wa kampeni na Mbowe kuwa ameshindwa usubutu wa kufanya jambo , naona majibu wameshayapata kuwa hata hii timu mpya hawana kitu kipya juu ya kupambana na upoteaji wa watu hivyo kuna uwezekano haya mabo yakaendelea
  6. Jambo la jingine ni kwamba, mwaka jana Mh. Lisu na Timu yake walitumia muda mwingi sana kukipasua chama na kutengeneza mazingira kuwa Mh Mbowe amepoteza ushawishi , kumbe wao ndiyo waliyokuwa hawampi ushirikiano (hujumu) m/k wa zamani ili kufanikisha agenda yao ya kiuchaguzi. sasa siyo muda wa kulialia na Mbowe tena jengeni chama na kama kuna watu mnahisi mmewatendea sivyo basi tafuta watu wenye busara ili kuyamaliza (Inawezekana wewe ndiyo unawhitaji zaidi kuliko waowanavyokuhitaji(Kule CCM watu huwa wanajishusha kwaajili ya maslahi yaoya kiuchumi na nafasi za kisiasa))
  7. Na jambo la mwisho n1 kwamba. Mh Mbowe ana hadhi yake ndani ya Chadema na nje ya chama hata kama yupo pembeni, japo tupo katika zama za Demokrasia lakini siyo kila mtu ndani chama anaweza weza kumbagaza na kumtungiatungia tuhuma kama hao mahasimu wanavyotaka, kwani kwa kufanya hivyo wanakiumiza chama na si vinevyo.
  8. Na mwisho kabisa kama haya yote yanafanyika kwa makusidi ili kurecruit wanacham wapya that well and good lakini chama kitachukua muda mrefu kurudi kwenye peak
Umeongea point kubwa sana. Mwenye sikio na asikie. Tundu Lisu na timu yake wamekaa kimapambano dhidi ya yeyote aliyemuunga mkono Mbowe as if ilikuwa dhambi kufanya hivyo.
 
View attachment 3243725

Baada ya kushindwa uchaguzi Freeman Mbowe hajaongea lolote. Akina Lissu na timu yake walitumia nguvu nyingi kumbomoa ili washinde uchaguzi kwa hila. Kumbe walikuwa hawana mkakati wa kukiongoza chama. Sasa wanakanyagana kumtukana Mwenyekiti mstaafu.


View: https://x.com/RehemaNM2/status/1892372722044354860?t=zfgUxlMMl_74CNtBaswz-w&s=19

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hawa Genz's wanampotosha mwenyekiti mpya.
 
Nilikuwa nampenda sana Lisu, lakini kwa kampeni chafu alizofanya dhidi ya Mbowe simpendi tena. Lisu si mwanasiasa aliyekomaa. Duniani hakuna uchaguzi wa ndani ya chama unaokuwa wa kuchafuana kiasi kile. Ndio maana CCM hawamshindanishi mwenyekiti wao na mtu yeyote yule ili kuzuia migawanyiko kama tunayoishuhudia Chadema.

Protests za kiunaharakati ndani ya chama hazijawahi kujenga hata siku moja. Kampeni zao ziliongozwa na akina Maria Sarungi ambao hata hawapo nchini. Wao wanabaki kuwa keyboard na clubhouse worriors. Mbowe amekilinda chama wakati wa Magufuli huku wenzake wakiwa wamekimbia nchi, lakini leo wanaona si mali kitu. Hakika inauma kuona Chadema ikielekea katika dark path.
 
Inasikitisha sana kuwa Mbowe anafuata njia ya Profesa Lipumba ya kukiua chama alichoshiriki kukijenge kwa jasho na damu. Hii barua ingeishia tu kwa Katibu Mkuu wa Chadema tungeweza kusema ilikuwa na ni njema ya kutaka kurekebishana lakini kwa kumshirikisha Msajili wa vyama ambaye ameoneka siku zote kuwa ni adui namba moja wa vyama vya upinzani ni dhahir shahir kuwa nia ya barua hiyo ni kuibomoa Chadema na pia ni dhahir kuna mkono wa TISS katika sakata hili.
CHADEMA wawe na ukomavu waache kulialia, kila kitu atashtumiwa FAM. TAL anasema yeye husimamia sheria, ni vizuri ajibu hoja husika kuliko kuanza kutajana majina.
 
Tekelezeni mliyoahidi kwenye kampeni ,uchaguzi ushapita pigeni kazi....Si waliona mbowe anaiba michango ,haya chombo washakabidhiwa ,twendeni sasa NO REFORM NO ELECTION.
[/QUOTE🙅🏻‍♂️🙅🏻‍♂️🙅🏻‍♂️ Hapo kwl umemaliza aina haja yakufukuwa makabur tena
 
Alipokosea Lissu ni kumuweka yule wa visiwani na mnunua office za chama. Hawa ndio wanaotuma ujumbe pande ile kwani bado payroll yao ipo kwa huyo mnamuita kakaa kimya!
Tambueni adui zenu kwa jicho la tatu!

Rudini majimboni kuwaelimisha wananchi na kuwajengea wigo watakaofaa kuwa wabunge.

NKM apunguze mihemko.

Lakini songeni mbele mtafanikiwa
Punguzeni kulalamika fanyeni kazi.
 
Binafsi yangu Lissu nimetokea kumweka kama ishara ya mtu asiye na shukrani kwa Mungu na hata kwa binadamu.

Na ni mtu hawezi kuitunza heshima ya mtu yeyote yule ilimradi yeye anataka lake lifanikiwe.

Je, hayo yooote aliyotuambia kumhusu Mbowe ni kwanini sasa asimchukulie hatua?

Maana si ni mambo yana ushahidi?

Sasa ndivyo itakavyokuwa hata tuseme akiwa Rais, hakuna atakachobadili.

Ni jamaa flani anataka tu kuwa kiongozi na haina haja kwake kulinda maadili yetu.

Hivi anajua amepoteza wafuasi wangapi kwa yeye kwanza kusuport Ushoga, na pili hili la juzi kumchafua Mbowe kiasi kile?

Mimi mwenyewe nilikuwa mfuasi wa Lissu, lakini sasa sipendelei kamwe awe na nafasi yoyote kiuongozi.
 
Lissu anasimamia azimio la Mkutano mkuu. Hili nalo ni gumu kuelewa?
Ukiwa Mwenyekiti lazima uwe na vision yako mwenyewe. Kwani unalazimika kutekeleza hata ambayo hayatakelezeki??

Hujaona Trump aki saini executive order ya kutambua sera ya jinsia 2 tu, tofauti na mtangulizi wake Joe Biden?? Hebu mara nyingine rudini kwenye akili zenu na nyinyi!!

Yaani mnamtukuza Lissu kama akina Kabudi, Kangi Lugora, Aggrey Mwanri walivyokuwa wanamtukuza Magufuli
 
Ukiwa Mwenyekiti lazima uwe na vision yako mwenyewe. Kwani unalazimika kutekeleza hata ambayo hayatakelezeki??

Hujaona Trump aki saini executive order ya kutambua sera ya jinsia 2 tu, tofauti na mtangulizi wake Joe Biden?? Hebu mara nyingine rudini kwenye akili zenu na nyinyi!!

Yaani mnamtukuza Lissu kama akina Kabudi, Kangi Lugora, Aggrey Mwanri walivyokuwa wanamtukuza Magufuli
Nani amekuambia hayatekelezeki?Subirini kazi ndiyo kwanza inaanza, na wapi Lissu ametukuzwa? Sema wewe una chuki binafsi na Lissu na hilo ni haki yako hakuna anayekuzuia ila usitulishe maneno ya kumtukuza Lissu.
 
Nani amekuambia hayatekelezeki?Subirini kazi ndiyo kwanza inaanza, na wapi Lissu ametukuzwa? Sema wewe una chuki binafsi na Lissu na hilo ni haki yako hakuna anayekuzuia ila usitulishe maneno ya kumtukuza Lissu.
Kwanini nimchukie Lissu ?? Tafuta posts zangu humu zinazomhusu Lissu uone kama ninamchukia
 
Ndugu zangu wanachadema, naomba tuache kuwa na ulevi wa ushindi wa uchaguzi hasa kwa timu Lisu, sis raia tulitarajia baada ya uchaguzi chadema ingebaki kitu kimoja, lakini kwa bahati mbaya naona jambo hili limekuwa gumu na hasa kwa Viongozi kulitengenezea utaratibu ili wanachama kubaki wamoja. Nitaongelea maswala kadhaa ili kuleta uelewa msingi wa kinachoendelea:
  1. Naomba ifahamike kwamba kuongoza chama kikubwa kama Chadema siyo jambo jepesi kama watu wengi wanavyodhani , hivyo wale wanaozalisha hila na tuhuma kuhusu m/kiti wa zamani nashauri waache, kwani wanayofanya sasa hivi hawamsaidii TAL wala timu yake.
  2. Toka wakati wa kampeni tulishuhudia nguvu kubwa ya kampeni ya Timu Lisu ambapo hata walikuwa wakitishia kujitoa kwanye Chama iwapo Mh TAL hatoshinda na kwamba ilianza kutengeneza hila kuwa Mh Mbowe angelazimisha ushindi wa mizengwe dhidi ya mshindani wake. (Kumbe TImu Lisu walikuja kwenye uchaguzi kwaajili ya ushindi wa mtu na siyo chama.)
  3. Ushindi wa Mh Lisu dhidi ya Mh Mbowe ulikuwa na margin ndogo sana, na ukizingatia style ya kampain iliyotumika wakati uchaguzi haikuwa ya kistaarabu (yaani ililenga kukipasua chama), hivyo Mh TAL alitakiwa baada tu ya kutangazwa mshindi awe muangalifu sana kwenye kauli anazotoa ten kwani kama M/kiti mpya angeonyesha kama anamuhitaji kila mmoja hata wale ambao hawajamchagua kwaajili ya mstakabali mwema wa chama kitu ambacho, yeye na wapambe wake walitumia muda huo vibaya kwa kujipongeza as if walikuwa wanashindana dhidi CCM.
  4. Nitoe angalizo kuna wafuasi wa TAL and Heche ambao wengine wala siyo wanachama na waliyo wanachama ni wing ya Vijana, ambao unaona wapo tayari kuendeleza ile vita ya wakati wa kampeni hadi sasa hivi ambapo kimsingi kwa kujua au kutokujua inapelekea chama kukosa nguvu ya ushawishi.
  5. CCM na vyombo vyake wameanza kuwatest kwa tukio lile la Mwanza la kutekwa kwa kiongozi na watu wasiojulikana, ukilinganisha na namna mlivyokuwa mnaonyesha uchungu wakati wa kampeni na Mbowe kuwa ameshindwa usubutu wa kufanya jambo , naona majibu wameshayapata kuwa hata hii timu mpya hawana kitu kipya juu ya kupambana na upoteaji wa watu hivyo kuna uwezekano haya mabo yakaendelea
  6. Jambo la jingine ni kwamba, mwaka jana Mh. Lisu na Timu yake walitumia muda mwingi sana kukipasua chama na kutengeneza mazingira kuwa Mh Mbowe amepoteza ushawishi , kumbe wao ndiyo waliyokuwa hawampi ushirikiano (hujumu) m/k wa zamani ili kufanikisha agenda yao ya kiuchaguzi. sasa siyo muda wa kulialia na Mbowe tena jengeni chama na kama kuna watu mnahisi mmewatendea sivyo basi tafuta watu wenye busara ili kuyamaliza (Inawezekana wewe ndiyo unawhitaji zaidi kuliko waowanavyokuhitaji(Kule CCM watu huwa wanajishusha kwaajili ya maslahi yaoya kiuchumi na nafasi za kisiasa))
  7. Na jambo la mwisho n1 kwamba. Mh Mbowe ana hadhi yake ndani ya Chadema na nje ya chama hata kama yupo pembeni, japo tupo katika zama za Demokrasia lakini siyo kila mtu ndani chama anaweza weza kumbagaza na kumtungiatungia tuhuma kama hao mahasimu wanavyotaka, kwani kwa kufanya hivyo wanakiumiza chama na si vinevyo.
  8. Na mwisho kabisa kama haya yote yanafanyika kwa makusidi ili kurecruit wanacham wapya that well and good lakini chama kitachukua muda mrefu kurudi kwenye peak
Well said.
 
View attachment 3243725

Baada ya kushindwa uchaguzi Freeman Mbowe hajaongea lolote. Akina Lissu na timu yake walitumia nguvu nyingi kumbomoa ili washinde uchaguzi kwa hila. Kumbe walikuwa hawana mkakati wa kukiongoza chama. Sasa wanakanyagana kumtukana Mwenyekiti mstaafu.


View: https://x.com/RehemaNM2/status/1892372722044354860?t=zfgUxlMMl_74CNtBaswz-w&s=19

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ila Chadema kwa moto sana,
Mboga moto+ugali moto
 
Back
Top Bottom