Mwezi ujao naanza project maalum ya kusaka mtaji wa Tsh laki 5

Mwezi ujao naanza project maalum ya kusaka mtaji wa Tsh laki 5

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
Ni kupitia Apps za mikopo mtandaoni.

Nimekuja na strategies maalum sana kwa hizi kausha damu za Online

Mbinu nitakazotumia
1. Nimesajili Simcard Ya Vodacom maalum kwa ajili ya kukopea tu.

2. Nimetumia hio Simcard kuwasiliana na watu maalum ambao hawanifahamu, na nimesev majina yao.. hapo ni kukwepa usumbufu kwa ndugu jamaa na marafiki

3. Nitabadili E-mail Address ya Simu yangu naweka nyingine mpya ili wakati naanza installation ya hizi Apps, nita allow kila access watakayotaka wao ikiwemo contacts, sms na Photos😅😅

4. Kila app nitahakikisha nimepata mkopo usiopungua Tsh 15,000 lengo ni kupata Mikopo kutoka app zisizopungua 30

Immediately baada ya kukopa ni Kufuta apps na kwenda mbele😅😅
FB_IMG_1727197867845.jpg


kwa sasa naanza na uchunguzi juu ya hizo apps
 
Unaweza kujiona unafanya jambo sahihi kumbe unaongozwa na hisia ..

Huenda ni hasira baada ya kampuni X kukusumbua sana..

Utajiri ni Total asset kutoa deni , Hiyo formulla itakupeleka kwenye umasikini na majuto makubwa ..
 
Hizo app zote utakuta wamiliki ni watu watatu tu! yaani kama umachukua mkopo kupitia app fulani basi hupati mkopo mwingine kwenye app zaidi ya tano, maana yake wanakuwa na taarifa zako tayari
 
Sio rahisi kama unavyofikiri kwanza makampuni mengine wanashea taarifa za wateja(ukiwa na mkopo sehemu moja hupati kwingine) pia wengine hua wanakupiga mwezi mzima mbele wa kukuverify,wengine kianzio kwa mkopaji wa mara ya kwanza ni kidogo elf 5
 
Nje ya dhumuni la mleta mada ni app gani inayotoa mkopo vizuri pamoja na kuzingatia vigezo vyao vyote.
 
Back
Top Bottom