stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Habari, mwezi ujao naenda kupata milioni 30. Vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela sasa hivi sina. Na hiyo hela sidhani kama nitaipata tena kama.
Naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyaje.
Nina mke na watoto 3
Naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyaje.
Nina mke na watoto 3