ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Kwa nini mkuu? Ninazo nne mpaka sasa kuzinguana kawaida tu, kila kitu kina changamoto zake.Asithubutu hiyo biashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini mkuu? Ninazo nne mpaka sasa kuzinguana kawaida tu, kila kitu kina changamoto zake.Asithubutu hiyo biashara
Habari mwezi ujao naenda kupata mil 30 vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela saiz sina. Na hiyo ela sizani kama nitaipata tena kama hiyo naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyajee.
Nina mke na watoto 3
Wewe endelea na hiyo biashara usimshauri mwenzakoKwa nini mkuu? Ninazo nne mpaka sasa kuzinguana kawaida tu, kila kitu kina changamoto zake.
Kumbe hujapata bado....always dont share vitu kabla havijakamilika..shauri zako anyway ukipata rudi upewe mawazoHabari mwezi ujao naenda kupata mil 30 vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela saiz sina. Na hiyo ela sizani kama nitaipata tena kama hiyo naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyajee.
Nina mke na watoto 3
ASITHUBUTUNunua bodaboda 10 uwape vijana wakuchumie hela, boda moja kwa siku 12,000 tzs kumi ni 120,000.
Kwa mwezi ni 3,600,000 tzs. Yaani utakua na uwezo wa kuongeza boda mpya kila mwezi mpaka uwezo wako wa kuzi control utakaposhindwa.
Shauri yake mm nimetaadharisha...Ndugu pesa haifanyiwi bajeti kabla haijaingia mkononi mwako,hiyo sii yako hadi uione.Ushauri wa bure na pesa haitangazwi hiyo ni siri yako na fanya yako.Japo kuomba ushauri wa mawazo sii vibaya.🫠
Anatakaa kifaa mdomo wazii Manchester ajaribuu hizii biashara lazima iwe mchawi ama mshirikinaASITHUBUTU
Funguka mkuu!Sema hatufamiani hizo biashara zote ziko saturated lkn hata UTT faida ni kdogo, Ningekua nakufahamu ningekuelekeza namna ya kuwekeza hiyo Pesa yako na kupata 1% Kila siku kwanzia jumatatu Hadi ijuma, kwa maana unapata laki tatu Kila cku kwa mwaka mzima, kwa maana hiyo unarudisha mtaji wako ndani ya miezi mitano na unaanza kupata faida Hadi mwaka uishe.
Sitaki mtu anifuate PM kutaka kujua hii ni biashara gani, tunafanya na watu ambao tunafamiana nao.
#No malice to anybody
Nipatie nikuzungushie kila mwezi milion 2Habari mwezi ujao naenda kupata mil 30 vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela saiz sina. Na hiyo ela sizani kama nitaipata tena kama hiyo naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyajee.
Nina mke na watoto 3
hamna kitu hapa biashara kama inalipa haina longo longo watu wanafanya siri chimbo la mzigo sio hiviSema hatufamiani hizo biashara zote ziko saturated lkn hata UTT faida ni kdogo, Ningekua nakufahamu ningekuelekeza namna ya kuwekeza hiyo Pesa yako na kupata 1% Kila siku kwanzia jumatatu Hadi ijuma, kwa maana unapata laki tatu Kila cku kwa mwaka mzima, kwa maana hiyo unarudisha mtaji wako ndani ya miezi mitano na unaanza kupata faida Hadi mwaka uishe.
Sitaki mtu anifuate PM kutaka kujua hii ni biashara gani, tunafanya na watu ambao tunafamiana nao.
#No malice to anybody
Utaipata kutoka wapi? Mkopo? Unauza kitu? Mafao ya kustaafu/kufukuza kazi/kuachakazi au vipi? Tuanzie hapo!Habari mwezi ujao naenda kupata mil 30 vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela saiz sina. Na hiyo ela sizani kama nitaipata tena kama hiyo naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyajee.
Nina mke na watoto 3
Lini tajiri amewahi kukuambia njia yake halisi ya mafanikio, labda ukiwa karibu sana nae ndio utagundua.hamna kitu hapa biashara kama inalipa haina longo longo watu wanafanya siri chimbo la mzigo sio hivi
Sema hatufamiani hizo biashara zote ziko saturated lkn hata UTT faida ni kdogo, Ningekua nakufahamu ningekuelekeza namna ya kuwekeza hiyo Pesa yako na kupata 1% Kila siku kwanzia jumatatu Hadi ijuma, kwa maana unapata laki tatu Kila cku kwa mwaka mzima, kwa maana hiyo unarudisha mtaji wako ndani ya miezi mitano na unaanza kupata faida Hadi mwaka uishe.
Sitaki mtu anifuate PM kutaka kujua hii ni biashara gani, tunafanya na watu ambao tunafamiana nao.
#No malice to anybody
#No malice to anybody. If you don't understand what that means then better style up.Kama hutaki kumuelekeza mtu ilikuwa na maana ipi kuandika?