Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,713
- 6,121
Mkuu,Milioni 30 ni 10,000 USD.Ni pesa nzuri. Unapofikira ufanye nini na Pesa Jiulize Umeipataje?Sasa Hivi unajishughulisha na nini?Kipato chako kwa sasa ni kiasi gani?Gharama zako za maisha kwa wastani ni kiasi gani?Malengo yako ya muda mfupi na mrefu ni yapi(Ya kifedha).
Ukishajibu hayo Maswali kwa Ufasaha basi tazama furs mahali ulipo Au Jiulize Uwezo wako wa Kurisk ni mkubwa kiasi gani.Zingatia kwamba Katika Biashara unakuwa unachukua RISK hivyo ni muhimu uzingatie kwamba kuna Kupata au hata Kupoteza.
Ukishajibu hayo Maswali kwa Ufasaha basi tazama furs mahali ulipo Au Jiulize Uwezo wako wa Kurisk ni mkubwa kiasi gani.Zingatia kwamba Katika Biashara unakuwa unachukua RISK hivyo ni muhimu uzingatie kwamba kuna Kupata au hata Kupoteza.