stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Tenga milioni 5 kainywee bia sehemu zenye hadhi, hapo utakitana na watu wenye hadhi kuweza kukupa connection ya michongo ya maana .Habari mwezi ujao naenda kupata mil 30 vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela saiz sina. Na hiyo ela sizani kama nitaipata tena kama hiyo naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyajee.
Nina mke na watoto 3
chaiNunua bodaboda 10 uwape vijana wakuchumie hela, boda moja kwa siku 12,000 tzs kumi ni 120,000.
Kwa mwezi ni 3,600,000 tzs. Yaani utakua na uwezo wa kuongeza boda mpya kila mwezi mpaka uwezo wako wa kuzi control utakaposhindwa.
hii inaweza isitoshe kama hana jengo la kuanzia,Fungua mini supermarket
Hii nayo akili...sema sasa vijana wenyewe wawe wanajielewaNunua bodaboda 10 uwape vijana wakuchumie hela, boda moja kwa siku 12,000 tzs kumi ni 120,000.
Kwa mwezi ni 3,600,000 tzs. Yaani utakua na uwezo wa kuongeza boda mpya kila mwezi mpaka uwezo wako wa kuzi control utakaposhindwa.
hiyo pesa ukipokea tu chawa,wapambe pro max na pisi kali ndio zitakuwa karibu yakoHabari mwezi ujao naenda kupata mil 30 vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela saiz sina. Na hiyo ela sizani kama nitaipata tena kama hiyo naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyajee.
Nina mke na watoto 3
Mkuu kwa 30m ni biashara gani ya usafirishaji itamfaa ukitoa bodaboda kama alivyoshauri mdau mmoja hapo juu?biashara ya usafirishaji
Hii suo biashara kwa sasaNunua bodaboda 10 uwape vijana wakuchumie hela, boda moja kwa siku 12,000 tzs kumi ni 120,000.
Kwa mwezi ni 3,600,000 tzs. Yaani utakua na uwezo wa kuongeza boda mpya kila mwezi mpaka uwezo wako wa kuzi control utakaposhindwa.
Yan 30M hufungui min supermarket ? Mzee upo serious ?hii inaweza isitoshe kama hana jengo la kuanzia,
Kanunue bangii tarimeee uza Kenya ndugu anza na mil 10 kwanza 20 m Weka bankHabari mwezi ujao naenda kupata mil 30 vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela saiz sina. Na hiyo ela sizani kama nitaipata tena kama hiyo naombeni ushauri kama ungekuwa wewe ungefanyajee.
Nina mke na watoto 3