Mwezi ujao nataka nifunge adsl ya ttcl nipunguze gharama a internet, naombeni muongozo wenu wakuu..

Mwezi ujao nataka nifunge adsl ya ttcl nipunguze gharama a internet, naombeni muongozo wenu wakuu..

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Mimi ni fundi seremala huwa napenda sana kutumia internet hasa youtube kuongeza ujuzi.

Nimejikuta natumia wastani wa shilingi laki moja na elf 30 kila mwezi kwajili ya internet kwenye kucheki youtube, netflix, kudownload cartoon za watoto, kushare internet, n.k.

Nataka nipunguze gharama hio iwe elf 25 tu kila mwezi

Katika pita pita zangu kucheki mbadala nikaona hawa ttcl wana internet bila kikomo kwa bei rahisi wanakuunga kwenye nguzo zao.

Kwangu mimi nguzo zimepita ila waya umekatikia kwenye nguzo ya tatu,

Je ninaweza kupata hii huduma ??

Chief-Mkwawa

amryvinc

sky soldier
 
fika ofisi zao zilizo jirani
Nimeona kuna post uliweka hapa kwamba ujiongeze, hapo vp?? funguka mkuu maana hii bongo kuna vitu vina utaratibu wake lasivyo utasubiri sana
 
Tafuta namba za mafundi uwasiliane nao moja kwa moja ukishajaza fomu
wasumbue mpaka waone kero
Kama una namba za fundi weka hapa utasaidia wengi

Huko TTCL ofisini watu tumeenda sana imefika hatua mpaka nimeanza kuwafahamu wafanyakazi majina yao, couples, na vitengo vyao hadi mishahara wanayolipwa

Kabla tozo hazijaingia nilijaza fomu ya hii huduma lakini mpaka saizi mwigulu kazifuta bado swala langu limekuwa kipengele
 
Kama una namba za fundi weka hapa utasaidia wengi

Huko TTCL ofisini watu tumeenda sana imefika hatua mpaka nimeanza kuwafahamu wafanyakazi majina yao, couples, na vitengo vyao hadi mishahara wanayolipwa

Kabla tozo hazijaingia nilijaza fomu ya hii huduma lakini mpaka saizi mwigulu kazifuta bado swala langu limekuwa kipengele
Ishu ni kwamba mafundi wapo kutoka maeneo tofauti inategemea na eneo husika,,
 
Kama una namba za fundi weka hapa utasaidia wengi

Huko TTCL ofisini watu tumeenda sana imefika hatua mpaka nimeanza kuwafahamu wafanyakazi majina yao, couples, na vitengo vyao hadi mishahara wanayolipwa

Kabla tozo hazijaingia nilijaza fomu ya hii huduma lakini mpaka saizi mwigulu kazifuta bado swala langu limekuwa kipengele
umenena aisee,,, niliwahi kwenda kwa customer care pale mapokezi nikaambiwa hawana hii huduma sehemu yoyote,

wale customer care wengi wanakatisha tamaa maksudi ili uondoke huwa hawapendi kuamka kwenye viti, wanasubiri tu mishahara ila majukumu wanakwepa,,
 
Mimi ni fundi seremala huwa napenda sana kutumia internet hasa youtube kuongeza ujuzi.

Nimejikuta natumia wastani wa shilingi laki moja na elf 30 kila mwezi kwajili ya internet kwenye kucheki youtube, netflix, kudownload cartoon za watoto, kushare internet, n.k.

Nataka nipunguze gharama hio iwe elf 25 tu kila mwezi

Katika pita pita zangu kucheki mbadala nikaona hawa ttcl wana internet bila kikomo kwa bei rahisi wanakuunga kwenye nguzo zao.

Kwangu mimi nguzo zimepita ila waya umekatikia kwenye nguzo ya tatu,

Je ninaweza kupata hii huduma ??

Chief-Mkwawa

amryvinc

sky soldier
Kama mdau hapo alivyokuambia wasiliana na mhusika anaekuja kukufungia, kila ofisi inakuwa na wale jamaa wanaopanda kwenye nguzo wanatembea na gari zao zenye ngazi zile kama za Tanesco. Ongea nae vizuri mpange atakuja fasta tu, huko ofisini wengi hata hawajui kwenye field mambo yanaendaje.

Pia TTCL wana uhaba wa vifaa kama Router, hao hao malizana nao wanajua pa kuzipatia.

4mbps kwa 25000 inatosha kabisa inastream youtube 720P bila tatizo,
 
Kama mdau hapo alivyokuambia wasiliana na mhusika anaekuja kukufungia, kila ofisi inakuwa na wale jamaa wanaopanda kwenye nguzo wanatembea na gari zao zenye ngazi zile kama za Tanesco. Ongea nae vizuri mpange atakuja fasta tu, huko ofisini wengi hata hawajui kwenye field mambo yanaendaje.

Pia TTCL wana uhaba wa vifaa kama Router, hao hao malizana nao wanajua pa kuzipatia.

4mbps kwa 25000 inatosha kabisa inastream youtube 720P bila tatizo,
Shukrani mkuu umenipa mwanga, naona kweli wale wanaotembea na gari zenye nguzo ndio wa kudeal nao.

Wale customer care ni bure kabisa, wanajua tayari shirika ni la serikali mishahara ipo ya uhakika hawataki kuamka hata kwenye viti wakushughulikie, majibu yao ya kukufanya uondoke wao waendelee kukaa tu.

Itabidi nishughulike na hii ishu mpaka niipate kwakweli maana internet kwangu inazidi kuwa gharama.

By the way huko bungeni wamependekeza mabando yapande.... Tukae mkao wa kula



 
Shukrani mkuu umenipa mwanga, naona kweli wale wanaotembea na gari zenye nguzo ndio wa kudeal nao.

Wale customer care ni bure kabisa, wanajua tayari shirika ni la serikali mishahara ipo ya uhakika hawataki kuamka hata kwenye viti wakushughulikie, majibu yao ya kukufanya uondoke wao waendelee kukaa tu.

Itabidi nishughulike na hii ishu mpaka niipate kwakweli maana internet kwangu inazidi kuwa gharama.

By the way huko bungeni wamependekeza mabando yapande.... Tukae mkao wa kula




inategemea wanakata vipi mkuu maana hii statement ni tata

kama watakua wanaongeza kodi kwenye internet yenyewe watakua wanakosea, internet inatakiwa ipatikane kwa urahisi kama maji ama umeme,

wanachotakiwa wao ni kufuatilia kodi zinazotokana na hio internet/data na sio internet yenyewe.
 
wewe hii adsl unayo mkuu ??

Process kwako ilikuwaje ?

umeridhika na huduma yao?
wewe hii adsl unayo mkuu ??

Process kwako ilikuwaje ?

umeridhika na huduma yao?
Ninayo adsl
Nilijazia fomu apo apo ofisini. Unapewa option ya prepaid au postpaid... Unachagua na package nilichagua 5OK...the next day wakanipigia nikanunue router Then nikaomba namba ya fundi nikamcheki directly within 2 days akaja kufanya installation

Nimeridhika na huduma mpaka sasa,, natumia sana steam na origin.. Mpaka sasa almost 100 gigs zimeshuka.. Speed idm almost 1mb per second youtube 720p no stuttering 1080p 80% of the time inakua poa... Na tuna device almost 10 ofisini na net iko poa tu... Kuhusu fiber itabidi watu wasubiri now ungine copper its reliable
 
wewe hii adsl unayo mkuu ??

Process kwako ilikuwaje ?

umeridhika na huduma yao?
kwa kuongezea unaweza kuona muda huu hali ilivyo
Screenshot (38) - Copy.png
 
Mimi ni fundi seremala huwa napenda sana kutumia internet hasa youtube kuongeza ujuzi.

Nimejikuta natumia wastani wa shilingi laki moja na elf 30 kila mwezi kwajili ya internet kwenye kucheki youtube, netflix, kudownload cartoon za watoto, kushare internet, n.k.

Nataka nipunguze gharama hio iwe elf 25 tu kila mwezi

Katika pita pita zangu kucheki mbadala nikaona hawa ttcl wana internet bila kikomo kwa bei rahisi wanakuunga kwenye nguzo zao.

Kwangu mimi nguzo zimepita ila waya umekatikia kwenye nguzo ya tatu,

Je ninaweza kupata hii huduma ??

Chief-Mkwawa

amryvinc

sky soldier
Karibu sana mkuu

#RudiNyumbaniKumenoga
 
Back
Top Bottom