Mwezi ujao Yanga itashushwa madaraja mawili, serikali ijitetee hivi huko FIFA

Mwezi ujao Yanga itashushwa madaraja mawili, serikali ijitetee hivi huko FIFA

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Wakati wako busy kusajili wachezaji wa bilioni 1.2 na mwingine wa billion 5 huko South Africa huku itaaarifiwa pia wanaenda kutoa billions 12 kuchukua mwingine toka Misri team ya yanga fc mwezi ujao itashushwa daraja baada ya tarehe 3 july pale watakapogoma kuingiza team uwanjani vs simba.

Hii ni baada ya leo wazee wa klabu hiyo kutoa official statement wakiwa na mwenyekiti wa team hiyo tena mbele ya banners zenye official sponsors, mechi hiyo iliahirishwa na wizara inayoongozwa na mwana yanga kindakindaki ambaye nampa ushauri huu, baada ya kushushwa daraja yanga watenda kushtaki CAS na kusema serikali iliingilia michezo sasa bwana bashungwa nakupa jibu la kusema huko na hakuna kima yoyote ataifanya kitu TFF.

ilipofika saa sita mchana vyombo vya usalama vilikuta package isiyo y a kawaida chooni uwanjani ikadhaniwa ni bomu ili kutokuleta taharuki kikaondolewa haraka na bomb squad huku juhudi zikiendelea kuhakikisha usalama ikaamuliwa kupeleka mechi mbele ili kujihakikishia usalama..

huo utetezi unaweza kutumika hata fifa kama yanga wataamua kutunishiana kifua

TAFADHALI TFF KANUNI ZIFATWE BAADA YA HIYO TAREHE 3 WAKACHEZE DARAJA LA PILI HUKO
Capture.PNG
waziri.PNG
 
yeas ndiyo adhabu hiyo bwasheee na mlivyo maboya mnadhani karia ndiye aliyepeleka mchezo mbele wakati mwanachama wenu bashungwa anakiri walipeleka mbele kwa nia njema sasa mnashushwa daraja hadi la pili kakateni rufaa Fifa mseme serikali iliiingilia mpira NAO WATAJITETEA KULIKUWA NA TISHIO LA KIUSALAMA, HAMUWEZI SHINDA HII VITA NAWAAPIA
Rage apewe ulinzi, mambumbu ni mengi kweli ,na hayaishi
 
Yanga haishushwi daraja ligi hii bila Yanga haiwezi kuwa ligi...
na hiyo sheria ya kusema team isipoingia uwanjani ishushwe madaraja mawili ifutwe rasmi sasa huu ni ujinga maan hadi Tarimba bungeni anasema simba na tff ndo walisogeza mechi mbele,pathetic
acha wasilete tuone mwisho wake ila hii kesi hata ikienda mbele simple sana serikali itasema kulikuwa na kitisho cha usalama hapo hakuna cha kesi tena
 
Itafahamika tu,ila kwa Yanga kugomea hii mechi ni aibu kubwa.
 
Itafahamika tu,ila kwa Yanga kugomea hii mechi ni aibu kubwa.
msolla na wenzake wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa ku brainwash wanachama wao kuhusu Tff,ana mkutano wa wanachama mwezi huu lazima hizi confusions azifanye maan jalala la lawama ya udhaifu wake ni karia na tff ndiyo maana hapa katikati alimtuma Bumbuli ilivyo backfire leo katuma wazee na kapiga nao picha na wameongea mbele ya banners za sponsors ina maana ni official statement
Hali kama hii hata sponsors wa maana wanaogopa kuwekeza kwenye league ya wahuni kama msolla maana unaweza kuja na nembo yako nyekundu ukamwaga mamilioni ya ufashili majitu yanataka ibadilishwe iwe yellow,mara yanasusia mechi hata haieleweki
 
Yanga bado wanaushamba mwingi sana,cha ajabu mashabiki wao pamoja injinia Hersi walivaa jezi za Kaizer Chiefs zenye nembo ya Voda ambayo ina rangi nyekundu.
Hebu lete hiyo picha tuione
 
Ukiishusha Yanga(timu ya wananchi) daraja basi jua kuwa ligi itavunjia msimu huo hakuna mechi itakayochezwa (Katika sauti ya mzee Mpili)
 
Hebu lete hiyo picha tuione
Ukiishusha Yanga(timu ya wananchi) daraja basi jua kuwa ligi itavunjia msimu huo hakuna mechi itakayochezwa (Katika sauti ya mzee Mpili)
kwamba watapindua nchi??? pumbavu hata kama itakuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe acha iwe wajinga nyieee
 
Back
Top Bottom