Mwezi ujao Yanga itashushwa madaraja mawili, serikali ijitetee hivi huko FIFA

Mwezi ujao Yanga itashushwa madaraja mawili, serikali ijitetee hivi huko FIFA

simple tu acha washishwe waende huko CAS serikali itasema kulikuwa na tishio la usalama ,kwisha kazi
Jamaa wanakera mno yaani wanajiendesha kama watoto wa mitaani yaani ukiwasikiliza hoja zao ni za kijinga sana hebu rejea kipindi kile wanakataa kuvaa logo ya vodacom yenye rangi nyekundu yaani wakabisha hadi wakawekewa logo nyeusi wakati kampuni ya voda inatumia red logo kisa tu wao wamegoma na kwa kuwa TFF ilikuwa chini ya shabiki wao ikawa hivyo sasa zile tabia za wakati huo zinaanza kujirudia tena.Hawa watu washughulikiwe.Kama ni ligi timu zilizobaki zitacheza tu vema
 
Jamaa wanakera mno yaani wanajiendesha kama watoto wa mitaani yaani ukiwasikiliza hoja zao ni za kijinga sana hebu rejea kipindi kile wanakataa kuvaa logo ya vodacom yenye rangi nyekundu yaani wakabisha hadi wakawekewa logo nyeusi wakati kampuni ya voda inatumia red logo kisa tu wao wamegoma na kwa kuwa TFF ilikuwa chini ya shabiki wao ikawa hivyo sasa zile tabia za wakati huo zinaanza kujirudia tena.Hawa watu washughulikiwe.Kama ni ligi timu zilizobaki zitacheza tu vema
hadi graphics designers wao kuna kipindi wakitengeneza flyer mfano yanga vs simba ,logo ya simba ile nyekundu wanaichakachua inakuwa ya kijani au team yenye nyekundu kama coast union wanaharibu rangi kabisa ,ni majitu ya hovyo sana kwa kweli
 
Simba msihangaike na mind game ya utopolo mkaacha kujiandaa na mechi.

Hawa jamaa wanajitahidi kucheza na akili za wana Simba sana.Ila timu wataingiza.

Hakuna mtu aliye juu ya serikali hata FIFA yenyewe haiko juu ya serikali yoyote
 
Akili za Mikia bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1816452
Yenu sasa
FB_IMG_16224462094316994.jpg
 
Simba msihangaike na mind game ya utopolo mkaacha kujiandaa na mechi.

Hawa jamaa wanajitahidi kucheza na akili za wana Simba sana.Ila timu wataingiza.

Hakuna mtu aliye juu ya serikali hata FIFA yenyewe haiko juu ya serikali yoyote
Simba kila mechi ni fainali zaidi zaidi wanajitoa mchezoni wenyewe
 
Msije tu uwanjani tarehe 3, July
Ukiona wamekuja basi wamebembelezwa sana nyuma ya panzia.

Ugumu ni kuipa Yanga adhabu hiyo mnayotegemea atapewa,hakuna kiongozi mwenye ujasiri huo,unaishushaje timu kama Yanga daraja??hivi hata wewe unaanzia wapi?hata Manara hawezi kuchukua uamuzi wa kuishusha Yanga daraja...timu ambayo ndo inaifanya ligi kuwa ligi.Hata haya matatizo wangekuwa nayo Simba hakuna mtu ambaye angeishusha daraja.

Msimamo wa Yanga TFF hawataudharau watafanya kila juhudi za kibusara Yanga ilete timu uwanjani kwa sababu hawana ubavu wa kuiadhibu isipoleta timu,amini.
 
Wakati wako busy kusajili wachezaji wa bilioni 1.2 na mwingine wa billion 5 huko South Africa huku itaaarifiwa pia wanaenda kutoa billions 12 kuchukua mwingine toka Misri team ya yanga fc mwezi ujao itashushwa daraja baada ya tarehe 3 july pale watakapogoma kuingiza team uwanjani vs simba.

Hii ni baada ya leo wazee wa klabu hiyo kutoa official statement wakiwa na mwenyekiti wa team hiyo tena mbele ya banners zenye official sponsors, mechi hiyo iliahirishwa na wizara inayoongozwa na mwana yanga kindakindaki ambaye nampa ushauri huu, baada ya kushushwa daraja yanga watenda kushtaki CAS na kusema serikali iliingilia michezo sasa bwana bashungwa nakupa jibu la kusema huko na hakuna kima yoyote ataifanya kitu TFF.

ilipofika saa sita mchana vyombo vya usalama vilikuta package isiyo y a kawaida chooni uwanjani ikadhaniwa ni bomu ili kutokuleta taharuki kikaondolewa haraka na bomb squad huku juhudi zikiendelea kuhakikisha usalama ikaamuliwa kupeleka mechi mbele ili kujihakikishia usalama..

huo utetezi unaweza kutumika hata fifa kama yanga wataamua kutunishiana kifua

TAFADHALI TFF KANUNI ZIFATWE BAADA YA HIYO TAREHE 3 WAKACHEZE DARAJA LA PILI HUKO
View attachment 1816371View attachment 1816374
Mbumbumbu fc
 
Back
Top Bottom