njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
-
- #21
simple tu acha washishwe waende huko CAS serikali itasema kulikuwa na tishio la usalama ,kwisha kaziNaunga mkono ,hakuna aliye juu ya serikali ,timu ikishindwa kucheza soka ipewe kibano tu
Jamaa wanakera mno yaani wanajiendesha kama watoto wa mitaani yaani ukiwasikiliza hoja zao ni za kijinga sana hebu rejea kipindi kile wanakataa kuvaa logo ya vodacom yenye rangi nyekundu yaani wakabisha hadi wakawekewa logo nyeusi wakati kampuni ya voda inatumia red logo kisa tu wao wamegoma na kwa kuwa TFF ilikuwa chini ya shabiki wao ikawa hivyo sasa zile tabia za wakati huo zinaanza kujirudia tena.Hawa watu washughulikiwe.Kama ni ligi timu zilizobaki zitacheza tu vemasimple tu acha washishwe waende huko CAS serikali itasema kulikuwa na tishio la usalama ,kwisha kazi
hadi graphics designers wao kuna kipindi wakitengeneza flyer mfano yanga vs simba ,logo ya simba ile nyekundu wanaichakachua inakuwa ya kijani au team yenye nyekundu kama coast union wanaharibu rangi kabisa ,ni majitu ya hovyo sana kwa kweliJamaa wanakera mno yaani wanajiendesha kama watoto wa mitaani yaani ukiwasikiliza hoja zao ni za kijinga sana hebu rejea kipindi kile wanakataa kuvaa logo ya vodacom yenye rangi nyekundu yaani wakabisha hadi wakawekewa logo nyeusi wakati kampuni ya voda inatumia red logo kisa tu wao wamegoma na kwa kuwa TFF ilikuwa chini ya shabiki wao ikawa hivyo sasa zile tabia za wakati huo zinaanza kujirudia tena.Hawa watu washughulikiwe.Kama ni ligi timu zilizobaki zitacheza tu vema
Wengi Wana low iq.vitu vidogo wanavi zoom ,mpaka wazee wao Kama watotohii timu haina tofauti na matope, usafi hauwezi kuchafua matope ,Yanga ni tope la mpira wetu
Yenu sasaAkili za Mikia bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1816452
Wasipoingiza timu uwanjani wanashushwa hadi daraja la pili kudadadeqYanga haishushwi daraja ligi hii bila Yanga haiwezi kuwa ligi...
Msije tu uwanjani tarehe 3, JulyYanga haishushwi daraja ligi hii bila Yanga haiwezi kuwa ligi...
Simba kila mechi ni fainali zaidi zaidi wanajitoa mchezoni wenyeweSimba msihangaike na mind game ya utopolo mkaacha kujiandaa na mechi.
Hawa jamaa wanajitahidi kucheza na akili za wana Simba sana.Ila timu wataingiza.
Hakuna mtu aliye juu ya serikali hata FIFA yenyewe haiko juu ya serikali yoyote
Ukiona wamekuja basi wamebembelezwa sana nyuma ya panzia.Msije tu uwanjani tarehe 3, July
Mbumbumbu fcWakati wako busy kusajili wachezaji wa bilioni 1.2 na mwingine wa billion 5 huko South Africa huku itaaarifiwa pia wanaenda kutoa billions 12 kuchukua mwingine toka Misri team ya yanga fc mwezi ujao itashushwa daraja baada ya tarehe 3 july pale watakapogoma kuingiza team uwanjani vs simba.
Hii ni baada ya leo wazee wa klabu hiyo kutoa official statement wakiwa na mwenyekiti wa team hiyo tena mbele ya banners zenye official sponsors, mechi hiyo iliahirishwa na wizara inayoongozwa na mwana yanga kindakindaki ambaye nampa ushauri huu, baada ya kushushwa daraja yanga watenda kushtaki CAS na kusema serikali iliingilia michezo sasa bwana bashungwa nakupa jibu la kusema huko na hakuna kima yoyote ataifanya kitu TFF.
ilipofika saa sita mchana vyombo vya usalama vilikuta package isiyo y a kawaida chooni uwanjani ikadhaniwa ni bomu ili kutokuleta taharuki kikaondolewa haraka na bomb squad huku juhudi zikiendelea kuhakikisha usalama ikaamuliwa kupeleka mechi mbele ili kujihakikishia usalama..
huo utetezi unaweza kutumika hata fifa kama yanga wataamua kutunishiana kifua
TAFADHALI TFF KANUNI ZIFATWE BAADA YA HIYO TAREHE 3 WAKACHEZE DARAJA LA PILI HUKO
View attachment 1816371View attachment 1816374