Mwezi ukiandama mnishtue. Nimekula pesa ya wife ananidai

Wewe unataka kumpa mwenzako ugonjwa wa moyo.
Hawezi kupata ugonjwa wa moyo, sana sana atapata matatizo kama kichwa kuuma sana, msongo wa mawazo (sonona), shinikizo la damu๐Ÿคฃ
 
Mr akiniambia nimkope wala sihangaikagi kumdai make anayonifanyia ni makubwa nawala haulizii wala kuhoji mshahara wangu naupeleka wapi!!
Kumbe watu kama nyie bado mpo ? mnastahili sanamu
 
Kwa style hii kuoa kiukweli nisifikishwe hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ