kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Natamani nikutukane na hayo maforex yakoMkuu hiyo laki tano ingiza forexi kupata milioni ndani ya wiki ni kama kumsukuma mlevi[emoji2223][emoji205][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani nikutukane na hayo maforex yakoMkuu hiyo laki tano ingiza forexi kupata milioni ndani ya wiki ni kama kumsukuma mlevi[emoji2223][emoji205][emoji1787]
Mkuu hutaki utajiri wa haraka bila kutoa jasho ? undanlodi pesa tuNatamani nikutukane na hayo maforex yako
Wewe na Ontario mlaanike, umbwa nyinyi.Mkuu hutaki utajiri wa haraka bila kutoa jasho ? undanlodi pesa tu
Kuliko ampe mkewe Bora akaichome siyo[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hiyo laki tano ingiza forexi kupata milioni ndani ya wiki ni kama kumsukuma mlevi[emoji2223][emoji205][emoji1787]
Una risasi?Unatafuta kupigwa risasi ndugu.
Ontanario alikuwa kama magufuli kijana tu.Forexi ni biashara kubwa yenye utajiri mkubwa zaidi duniani ambayo hakuna benki itataka uijue[emoji23][emoji23][emoji23]
Alikuja kuwakomboa wanyonge kupitia forexi🤣Ontanario alikuwa kama magufuli kijana tu.
Unapopata changamoto mbali mbali ndipo unapoongeza uwezo wa kutafuta hela...forexi itampa motisha🤣Kuliko ampe mkewe Bora akaichome siyo[emoji23][emoji23][emoji23]
Za kaziniUna risasi?
Kuna bitcoins, ni mlango mpya wa utajiri duniani🤣🤸🐒Wewe na Ontario mlaanike, umbwa nyinyi.
Gari ninayo wewe.Wafanyakazi wa serikalini nashangaa hamna magari yani hata kikwete hahaha!! hii ni hatari
Nimekumbuka huu mstarii wa, ndio mzee
Mikweche sio Kikwete.Wafanyakazi wa serikalini nashangaa hamna magari yani hata kikwete hahaha!! hii ni hatari
Nimekumbuka huu mstarii wa, ndio mzee