King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Master Bros - Nini Maana ya maisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna maombi yoyote yanayosikika Kwa walio lala. Sona Biblia msidanganyane.Tuwaombee waliotutangulia wapendwa wetu hatujui tuendako safari yetu ni moja kila mmoja hajui safari yake itaanza lini na akiwa wapi tuombe rehema kwa Mungu sisi ni wakosefu mda wote
Marehemu wote wapate rehema kwa Mungu wapumzike kwa amani
Hii safari wengi inatuumiza na tunajiuliza tunaenda kukutana na nini? Ila kila mtu huwa na majibu yake mwenye ukweli hakuna tuombe rehema
Rosalie ni sanamu, Amri ya Kwanza kabisa kwenye Biblia inasemaje?Our belief chakula cha marehemu ni maombi pia bikra maria alivyo watokea watoto wa fatima alisema tusali rozar na tuwaombee wasio na mwombezi
Maria hakua Bikra Tena, alizaa watoto wengine, Maria hajatajwa Wala kuoneshwa kua mkuu kuliko Yesu.Our belief chakula cha marehemu ni maombi pia bikra maria alivyo watokea watoto wa fatima alisema tusali rozar na tuwaombee wasio na mwombezi
Nani Alisema mtu akufa anapumzika. Nipe kifungu kinasema waliokufa wamepumzika milele 😂😂Raha ya Milele uwape Ee Bwana na Mwanga wa Milele uwaangazie,wapumzike kwa Amani..Amina🙏🙏🙏
acha stori za vijiweni,wataje kwa majina hao watoto...Maria hakua Bikra Tena, alizaa watoto wengine, Maria hajatajwa Wala kuoneshwa kua mkuu kuliko Yesu.
Yesu asema Mimi ndimi njia uzima na kweli, hakuna ajae Kwa Baba ila kupitia Mimi. Kumpa Maria nafasi ya Mungu ni ibada ya sanamu.
Kasome habari ya harusi Yesu alipokwenda Kana. Kasome Wakati Maria alikua akimlilia Yesu pale msalabani. Yesu alimwambia Nini?acha stori za vijiweni,wataje kwa majina hao watoto...
Kuhusu ubikra kasome .Luka 1:26-45
Mkuu tunapaswa kumcha Mungu na kutenda yale yaliyomema tungali tukiwa hai,ukishakufa kinachofuata ni hukumu tuu kulingana na namna ulivyoishi,so hakuna cha kumuombea marehemu wala sijui alale pema peponi,hyo haipo.Tengeneza maisha yako,tengeneza mambo ya nyumba ykoTuwaombee waliotutangulia wapendwa wetu hatujui tuendako safari yetu ni moja kila mmoja hajui safari yake itaanza lini na akiwa wapi tuombe rehema kwa Mungu sisi ni wakosefu mda wote
Marehemu wote wapate rehema kwa Mungu wapumzike kwa amani
Hii safari wengi inatuumiza na tunajiuliza tunaenda kukutana na nini? Ila kila mtu huwa na majibu yake mwenye ukweli hakuna tuombe rehema
Badala ya kujibu hoja unaleta Viroja na vitisho uchwara. This kind of fallacy is called ad hominem.umri wako ndiyo unaokupa kiburi,muda ukifika kadri unavyokua utakuja kutubu,Bado hujakomaa na hujui unayoyaandika, though kwa sasa unajiona una akili Kweli,unajua kuliko uliowakuta, unajiona critical thinker na argumetor mzuri Kweli kumbe Bado sana...
Biblia yenyewe ni fictional book. Haina tofauti na hekaya za Abunuwasi.kasome Luka 16:19-31
Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu wema tu, watakao mtii siku zote na kutenda mema siku zote?Mkuu tunapaswa kumcha Mungu na kutenda yale yaliyomema tungali tukiwa hai,
Ninyi si ndio mna amini Mungu wenu aliwajua hata kabla hujazaliwa?ukishakufa kinachofuata ni hukumu tuu kulingana na namna ulivyoishi,
so hakuna cha kumuombea marehemu wala sijui alale pema peponi,hyo haipo.Tengeneza maisha yako,tengeneza mambo ya nyumba yko