Mwigizaji maarufu Goo Hara wa Korea Kusini, Kajiua kwa kusemwa sana na vyombo vya habari

Mwigizaji maarufu Goo Hara wa Korea Kusini, Kajiua kwa kusemwa sana na vyombo vya habari

Acha ile kitu kunyooshewa vidole na kila mtu "acha kabisa"

nilishawahi kugoma kurudi shule live live yani, na home walinihamisha ile shule

kuandamwa na skendo halafu eti familia tu ndo iko upande wako ila wengine woteee

hawaelewi somo,ngumu ngumu ngumu sana sitamani yanikute hayo aseee.

Kadada ka watu kametangulia "sad"
 
. Ni bora kuwa famous Africa. Kuliko kuwa famous. Huko duniani
Huko ni shida hata kwenye drama zao huigiza kama uko kwenye bad side ya fans unaweza rushiwa hata mawe. Bullying ya huku ni maneno zaid huko kwao mpaka vitendo
 
Acha ile kitu kunyooshewa vidole na kila mtu "acha kabisa"

nilishawahi kugoma kurudi shule live live yani, na home walinihamisha ile shule

kuandamwa na skendo halafu eti familia tu ndo iko upande wako ila wengine woteee

hawaelewi somo,ngumu ngumu ngumu sana sitamani yanikute hayo aseee.

Kadada ka watu kametangulia "sad"
Sema tu huyu dada apendi attention ya media hiv kwa mfano angekuwa anasemwa Kama wema sepetu huku bongo angefikisha hata mwezi kwel?
 
Sema tu huyu dada apendi attention ya media hiv kwa mfano angekuwa anasemwa Kama wema sepetu huku bongo angefikisha hata mwezi kwel?
Wanasema kifo hakikosi sababu,sisi tunasema tu ila

yeye mwenyewe ukute hata hajajitoa roho kwa hiki tukifkiriacho

moyo wa mtu una siri nyingi sana ambazo si zote watu tunazitoa nnje.
 
Wanasema kifo hakikosi sababu,sisi tunasema tu ila

yeye mwenyewe ukute hata hajajitoa roho kwa hiki tukifkiriacho

moyo wa mtu una siri nyingi sana ambazo si zote watu tunazitoa nnje.
Wazazi wake na marafiki zake wakaribu ndio waliotoa taarifa hizo pia hata background ya huyo dada apandi Sana media na pia ana maisha ya private Sana.
 
Moja ya bahati ya kuwa mwafrika ni kwamba hatupatagi depression. Huyu dada kajiua kisa depression



Proud African
Kwa taarifa yako Depression imekamata vijana wengi sana Africa, Kwa africa mashariki Tanzania ndo inaongoza.
 
Haya sasa wale mastaa wa kuiga iga, igeni na hili
 
Ni kweli kabisa hapo angekua domo anasemwa ndo angekunya hata hadharani ili aendelee kuandikwa
Ningekuelewa Kama ungewasema watu Kama gigy money,Amber lulu,menina ndio ningekuelewa ambao usanii wao umetokana na Kiki za kipuuzi.
 
Back
Top Bottom