leop
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 550
- 523
Yah nilikundua Hilo pia baada ya kuangalia drama ya my love from the star.Kibongo bongo mastaa wanajichafua ili wawe maarufu!
Ila korea staa akichafuka anaona hana thamani. (Nimewaza tuu)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah nilikundua Hilo pia baada ya kuangalia drama ya my love from the star.Kibongo bongo mastaa wanajichafua ili wawe maarufu!
Ila korea staa akichafuka anaona hana thamani. (Nimewaza tuu)
Ndo kale kalikuwa kanamsumbua Lee mi hoKwenye city hunter Ndio kaliigiza kama Katoto ka Rais. Sikumbuki vizuri
Wanajiua kila sikuNa rafiki yake #sulli kajiua mwezi ulopita
U agree 100%Wakorea & wajapan ni kama wahehe
Kumbe ndo huyu daah!!ndo khantwe alikuwa anatumia picha yake kwenye id
Wahehe kwa hii type wanasubiri miter 300Wakorea & wajapan ni kama wahehe
Hawa jamaa naona wana mioyo yao naona ni ya tofauti kujiuwa ni dakikaAu anatafuta unaarufu leta chanzo cha kuaminika hapa.
Kama ni kweli ilikua rahisi kwake kuachana na mitandao ya kijamii kuliko ilivyokuwa rahisi kwake kupitisha kamba ya kujinyongea shingoni
Ina niuma Sana kiukweli ila media Zina roho mbaya sometimes
Huyu angesemwa na wazaramo basi angekufa siku hiyo hiyo
Bongo ndio wapi?Bongo tuna ulimwengu wa pekee yetu