Mwigizaji Nguli wa India John Abraham kuwasili Tanzania

Mwigizaji Nguli wa India John Abraham kuwasili Tanzania

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Muigizaji machachali wa sinema za kihindi za mapigano pamoja na mapenzi John Abraham atangaza kuwa anatarajia kuja nchini mwakani kwa ajili ya kucheza baadhi ya vipande katika movie mpya inayotarajiwa kuingia sokoni mwanzoni mwa mwaka 2018



Kazi imebaki kwa wasanii wetu wa Tanzania kutumia nafasi hii adimu kujitangaza kimataifa



1473250217355.jpg









1473250230110.jpg










1473250241620.jpg








1473250254859.jpg
 
Muigizaji machachali wa sinema za kihindi za mapigano pamoja na mapenzi John Abraham atangaza kuwa anatarajia kuja nchini mwakani kwa ajili ya kucheza baadhi ya vipande katika movie mpya inayotarajiwa kuingia sokoni mwanzoni mwa mwaka 2018



Kazi imebaki kwa wasanii wetu wa Tanzania kutumia nafasi hii adimu kujitangaza kimataifa



View attachment 395634








View attachment 395635









View attachment 395636







View attachment 395637
2018 au yupo airport now oyaaaaaa uchochezi
 
Ehh, kweli kila shetani na mbuyu wake...kumbe movie za kihindi bado zipo
 
Back
Top Bottom