brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Steve Nyerere inabidi achangamkie fursa.
Stev nyerere yeye anajua ukuwadi tuSteve Nyerere inabidi achangamkie fursa.
2018 au yupo airport now oyaaaaaa uchocheziMuigizaji machachali wa sinema za kihindi za mapigano pamoja na mapenzi John Abraham atangaza kuwa anatarajia kuja nchini mwakani kwa ajili ya kucheza baadhi ya vipande katika movie mpya inayotarajiwa kuingia sokoni mwanzoni mwa mwaka 2018
Kazi imebaki kwa wasanii wetu wa Tanzania kutumia nafasi hii adimu kujitangaza kimataifa
View attachment 395634
View attachment 395635
View attachment 395636
View attachment 395637
Mi zaidi ya Mitun, Amita, na Govinda....sijui kabisa hao wengine.Ehh, kweli kila shetani na mbuyu wake...kumbe movie za kihindi bado zipo
2018 au yupo airport now oyaaaaaa uchochezi
Mi zaidi ya Mitun, Amita, na Govinda....sijui kabisa hao wengine.
Nina miaka sijatizama hizo muvi.
hahahahahaπ±π±π±π±π±π±ππππππππππππππ TANZANIA + UCHOCHEZI = UMASIKINI