Mwigizaji Nguli wa India John Abraham kuwasili Tanzania

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Muigizaji machachali wa sinema za kihindi za mapigano pamoja na mapenzi John Abraham atangaza kuwa anatarajia kuja nchini mwakani kwa ajili ya kucheza baadhi ya vipande katika movie mpya inayotarajiwa kuingia sokoni mwanzoni mwa mwaka 2018



Kazi imebaki kwa wasanii wetu wa Tanzania kutumia nafasi hii adimu kujitangaza kimataifa






























 
2018 au yupo airport now oyaaaaaa uchochezi
 
Ehh, kweli kila shetani na mbuyu wake...kumbe movie za kihindi bado zipo
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ TANZANIA + UCHOCHEZI = UMASIKINI
hahahahaha😱😱😱😱😱😱
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…