Hazipo kama alivyosema MwiguluZingelipwa wasingetutoza tozo za miamala ya simu na benki..
Huyu Jamaa ameanza Kampeni mapema mno.Mwigulu Nchemba isee Akchinje mbuzi akiendelea kuwepo ofisini
Du!Lissu aliwahi kusema ripoti ya makinikia ni "Professional Rubbish",akaishia kupigwa risasi
Kwa kifupi ripoti ya MAKINIKIA ilikuwa rubbish yaani takataka.Wengi wa Watanzania hasa wanaoitwa wapinzagiza, ni wajinga na mamburula,
Ni ujinga kusema 700b alizitoa Lisu Kutoka miga!
Jpm anapata kosa lipi hapo na wakati alipokohoa tu 700b zikaingia Kutoka huko Accasia!
Kwa hicho walichotoa, Accasia ni majizii au si majizi?
Mnataka na hiyo kesi ya 360t akaisimamie yeye?
Pumbavu zenu vilaza na wafoji vyeti!
Kwa hiyo kama hao jamaa hawajapeleka malalamiko TRAB inamaana wamekubali inabidi wazilipe Mwigulu kachemsha kama alivuosema kwamba hazipo TRAB basi walipeTRAB = Tax Revenue Appeals Board
TRAT = Tax Revenue Appeals Tribunal
Angalau angeelezea maana yake kwanza ingemsaidia. Hapa kuna mijitu inaanza kumlaum Mwendezake kwa ujinga wa mtu mwingine. Uchache wa taarifa ni tatizo kubwa sana Board hupokea rufaa za kikodi ikiwa kunashauri ambalo mtu anaona sio... kwenye makadirio ya kodi aina zote zinazotozwa na mamlaka za kodi, ikiwa hataridhika na maamuzi ya board atakata rufaa TRAT. Ilianzishwa 2018 kwa mujibu wa sheria. Ukiconnect dot za Mwigulu maana yake utaipata.
Another Charles Kitwanga 😅😅😅Sakata la Makinikia limetinga bungeni baada ya Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuhoji kwa nini Serikali ilikubali kupokea Tsh. Bilioni 700 zilizotokana na kesi za malimbikizo ya madeni ya Makinikia badala ya Tsh. Trilioni 360 ambayo ni madai halali kwa Tanzania.
Mpina amehoji swali hilo la nyonge za katika kipindi cha maswali na majibu Bungeni leo Alhamis, Septemba 22,2022.
“Kwa nini Serikali ilikubali kupokea Tsh. Bilioni 700 kutoka katika kesi za malimbikizo ya madeni maarufu kama makinikia badala ya Tsh. Trilioni 360 ambayo ni madai halali katika nchi yetu,”amehoji.
Akijibu swali hilo, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali haijakubali kupokea fedha hizo (Sh700 bilioni) na kuacha Sh360 trilioni, isipokuwa ilipeleka malalamiko kuhusu kampuni za madini.
Hata hivyo, kabla ya kumaliza kulijibu swali hilo, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson alimkatisha na kutaka ufafanuzi wa majibu ya Serikali yaliyotofautiana na swali la msingi lililoulizwa na Mpina.
Akijibu swali hilo, Waziri Mwigulu amesema Serikali haikupokea kimya kimya fedha hizo (Sh700 bilioni) na kuacha Sh360 trilioni bali kilichofanyika ni kwa Serikali kupeleka malalamiko kwenye kampuni za madini.
Lakini kabla ya kuendelea kujibu, alikatishwa tena na Dk Tulia akimtaka kwenda kwa mtiririko huku akimtaka Waziri huyo kueleza juu ya tofauti ya fedha zilizoandikwa katika jibu la Serikali na zilizotamkwa na mbunge ili aweze kutoa mwongozo.
Akitoa ufafanuzi, DK Mwigulu amesema Sh360 trilioni anazozungumzia Mpina ni za makinikia wakati katika jibu la swali la msingi, kiasi kinachozungumziwa cha Sh4.21 trilioni ni za mashauri mengine ya kodi.
Baada ya maelezo hayo, Dk Tulia aliitaka Serikali kumjibu Mpina tena kwa kadri alivyouliza swali lake la msingi.
Akijibu swali hilo, Dk Mwigulu amesema Sh360 trilioni haipo kwenye Bodi ya Rufani ya Kodi (TRAB) wala Baraza la Usuluhishi la Mapato ya Kodi (TRAT).
Amesema rufaa za kikodi ni mahususi na lilikuwepo kwenye mzozo wa Serikali na Kampuni ya Barick kwahiyo ni kitu tofauti.
Katika swali la msingi, Mpina amehoji nini kinachosababisha kesi 1,097 za kodi za muda mrefu zenye thamani ya Sh360 trilioni na Dola za Marekani milioni 181.4 kutoamuliwa hadi sasa.
Akijibu swali hilo, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad Hassan Chande amesema
hadi Agosti 2022, kulikuwa na idadi ya mashauri 854 kwenye hatua mbalimbali za usikilizaji, yenye kodi inayobishaniwa ya jumla ya Sh4.21 trilioni na Dola za Marekani Milioni 3.48 katika taasisi za rufani za kodi ambazo ni TRAB na TRAT.
Amesema hivyo, kwa sasa TRAB na TRAT zinaendelea kusikiliza mashauri hayo pamoja na mashauri mapya yanayoendelea kusajiliwa.
Aidha, amesema kwa nyakati tofauti, idadi ya mashauri ya kodi hupungua au kuongezeka kulingana na kasi ya usikilizaji na usajili.
Tundu Lissu alishayaona haya tangu mwanzo.Kwa kifupi ripoti ya MAKINIKIA ilikuwa rubbish yaani takataka.
Baada ya kuwa Rais alitaka ku-prove kuwa ACACIA wanatuibia madini kupitia makinikia, ndipo akaunda tume ya Prof Mruma na Prof Osoro. Kiukweli Tume ya Prof Mruma ilikuta kuwa kontaina la 20ft lina 0.7Kg ya madini ya dhahabu na silver. Na kiasi hicho ndiyo kimekuwa kikilipiwa na ACACIA/ Barrick kodi sahihi kuanzia 1998.
Kwa vile Jiwe alidhani tunaibiwa madini wakati si kweli akaichakachua ripoti ya Prof Mruma na kuandika kuwa kuna 7.0 Kg kwa kila container. Hapa ndiyo ile hoja ya ACACIA kukwepa ushuru wa USD 190 bilioni au Tsh 450 Trillioni ndipo ilipojitokeza. Hiki kitu Tundu Lissu aliita professorial rubbish kwa kuwa ni uzandiki mtupu. Na kweli hatujapata hiyo Tsh 450 Trilion aka Noah moja kwa kila Mtanzania.
Lakini nchi yetu inaongoza kwà kuwa na wapumbavu wengi, maana
PhD za mchongoHana tofauti na Msukuma Nchi hii huwezi kujua nani ni nani.
Wanachojua ni kupiga tu fedha za Wananchi waliozubalishwa na Yanga/Simba.
Professerial RubiishWengi wa Watanzania hasa wanaoitwa wapinzagiza, ni wajinga na mamburula,
Ni ujinga kusema 700b alizitoa Lisu Kutoka miga!
Jpm anapata kosa lipi hapo na wakati alipokohoa tu 700b zikaingia Kutoka huko Accasia!
Kwa hicho walichotoa, Accasia ni majizii au si majizi?
Mnataka na hiyo kesi ya 360t akaisimamie yeye?
Pumbavu zenu vilaza na wafoji vyeti!
Professional*** = professorialLissu aliwahi kusema ripoti ya makinikia ni "Professional Rubbish",akaishia kupigwa risasi
Zile b 700 Lisu alizitoa Miga?Professerial Rubiish
TL best Person of all time.
Alichosema kuhusu Mgogoro wa Barrick na Tz ndio kilichotokea na kinaendelea kuwatafuna.
Mwigulu amejaribu kuficha aibu ya Mwendazake ya Tril 360.
Swali la Mpina japo yeye mpina ni mnafiki lakini linaibua aibu kubwa kwa awamu ya tano.
Mwigulu akabaki kijikanyaga tu.
Nyie watu kenge kweli kweli.Hizo pesa hazipo zilikuwa ni hadithi za Jiwe na kundi lake la Sukuma gang..
Tzn iwe na Trilioni 360 izitoe wapi hasa?
Acha utumwa wa kijinga mkuu! Ilikuwaje Accasia watoe hizo b 700?Kwa kifupi ripoti ya MAKINIKIA ilikuwa rubbish yaani takataka.
Baada ya kuwa Rais alitaka ku-prove kuwa ACACIA wanatuibia madini kupitia makinikia, ndipo akaunda tume ya Prof Mruma na Prof Osoro. Kiukweli Tume ya Prof Mruma ilikuta kuwa kontaina la 20ft lina 0.7Kg ya madini ya dhahabu na silver. Na kiasi hicho ndiyo kimekuwa kikilipiwa na ACACIA/ Barrick kodi sahihi kuanzia 1998.
Kwa vile Jiwe alidhani tunaibiwa madini wakati si kweli akaichakachua ripoti ya Prof Mruma na kuandika kuwa kuna 7.0 Kg kwa kila container. Hapa ndiyo ile hoja ya ACACIA kukwepa ushuru wa USD 190 bilioni au Tsh 450 Trillioni ndipo ilipojitokeza. Hiki kitu Tundu Lissu aliita professorial rubbish kwa kuwa ni uzandiki mtupu. Na kweli hatujapata hiyo Tsh 450 Trilion aka Noah moja kwa kila Mtanzania.
Lakini nchi yetu inaongoza kwà kuwa na wapumbavu wengi, maana
Wewe ndio kenge zee kabisa..Nyie watu kenge kweli kweli.
Siyo kuamini... Kama ni uongo basi waje wazi ili tujue kuwa akina Propesa Ossoro walipresent Professorial Rubbish. Pia watu wawajibishwe kwa huo uongo.... Ili next time tusifanywe mazuzu tena.Ina maana Mpina aliamini zile hadithi za marehemu? Zile zilikuwa ni story za kunogesha baraza kwa wasio na akili, wenye akili wote walijua kuwa ni uwongo.
Haya ngoja tuone kama Swali la Mbunge kuna mtu wa kumjibu.Zile b 700 Lisu alizitoa Miga?
Embu utuambie, Kama Accasia hawakuwa majizi, iweje watoe hizo pesa hata kama ni kidogo!
Acha uzuzu Dogo!
Kwa lugha nyepesi jiwe alikuwa msaniiHizo pesa hazipo zilikuwa ni hadithi za Jiwe na kundi lake la Sukuma gang..
Tzn iwe na Trilioni 360 izitoe wapi hasa?