Mwigulu Lameck Nchemba Madelu alijitokeza kwenye kinyang'anyiro cha 2015.
Kwa kweli siyo siri kuwa huyu ndugu alikuwa na kiu kubwa ya kuitumia haki yake hiyo ya kikatiba. Basi tu wajumbe hawakuzithamini potentials zake nyingi anazozijua mwenyewe.
"Pana maswali ya kujiuliza kwa yeyote anayeikodolea macho fursa ya 2025."
Je, kiu ya ndugu Madelu kama ilikwisha, ilimalizwa na nini?
Je ni uchochoro upi wa kupitia angali nao Madelu kuweza kuipata nafasi hiyo adhimu japo hata kwa kuwa candidate tu?
Vipi hii Singida United imechipuka chipuka kama uyoga tu?
Vipi haya mabango kuendelea kuwepo wakati wagombea wengine walisha vunja makundi?
Penye Tozo pana njia.
Kwa kweli siyo siri kuwa huyu ndugu alikuwa na kiu kubwa ya kuitumia haki yake hiyo ya kikatiba. Basi tu wajumbe hawakuzithamini potentials zake nyingi anazozijua mwenyewe.
"Pana maswali ya kujiuliza kwa yeyote anayeikodolea macho fursa ya 2025."
Je, kiu ya ndugu Madelu kama ilikwisha, ilimalizwa na nini?
Je ni uchochoro upi wa kupitia angali nao Madelu kuweza kuipata nafasi hiyo adhimu japo hata kwa kuwa candidate tu?
Vipi hii Singida United imechipuka chipuka kama uyoga tu?
Vipi haya mabango kuendelea kuwepo wakati wagombea wengine walisha vunja makundi?
Penye Tozo pana njia.