Mwigulu ameondoa tozo wa Wafanyabiashara, Viongozi na Watumishi wenye mishahara mikubwa si, Wananchi masikini

March12

New Member
Joined
Sep 19, 2022
Posts
2
Reaction score
0
Waziri wa fedha Mwigulu alichokifanya ni kuwahadaha Watanzania maskini ambao asilimia kubwa hawatumii Benki wanatumia mitandao ya simu kufanya miamala.

Kwahyo sijajua Wabunge wanakazi gani kwa huu ujinga aliofanya Waziri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…