M March12 New Member Joined Sep 19, 2022 Posts 2 Reaction score 0 Sep 21, 2022 #1 Waziri wa fedha Mwigulu alichokifanya ni kuwahadaha Watanzania maskini ambao asilimia kubwa hawatumii Benki wanatumia mitandao ya simu kufanya miamala. Kwahyo sijajua Wabunge wanakazi gani kwa huu ujinga aliofanya Waziri.
Waziri wa fedha Mwigulu alichokifanya ni kuwahadaha Watanzania maskini ambao asilimia kubwa hawatumii Benki wanatumia mitandao ya simu kufanya miamala. Kwahyo sijajua Wabunge wanakazi gani kwa huu ujinga aliofanya Waziri.