Mwigulu amuwashia moto Mpina, ni kuhusu kufunga biashara. Adai Mpina anafurahia watu wakiumia

Mwigulu amuwashia moto Mpina, ni kuhusu kufunga biashara. Adai Mpina anafurahia watu wakiumia

Mwigulu sasa ameanza kuilewa falsafa ya uongozi wa Kistaraabu wa Mama Samia.Jionee:





Amemchana mpaka dhambi zake za zamani. Myiramba leo kapandisha za Iramba.

Uzuri ni kwamba majini yote mawili yalifugwa na mtu mmoja kwenye chupa moja. Ndio maana yote yanafahamiana. Acha iendelee kunyesha ili tuone panapovuja. Hii ndio Tanzania
 
Mwigulu sasa ameanza kuilewa falsafa ya uongozi wa Kistaraabu wa Mama Samia.Jionee:





Amemchana mpaka dhambi zake za zamani. Myiramba leo kapandisha za Iramba.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tbc_online_20230626_8.jpg
 
Mwigulu sasa ameanza kuilewa falsafa ya uongozi wa Kistaraabu wa Mama Samia.Jionee:





Amemchana mpaka dhambi zake za zamani. Myiramba leo kapandisha za Iramba.

Hivi huyu ndugu mawazo haya alikuwa nayo 2015-2021? Nchemba wewee!!!!
 
Mwigulu sasa ameanza kuilewa falsafa ya uongozi wa Kistaraabu wa Mama Samia.Jionee:





Amemchana mpaka dhambi zake za zamani. Myiramba leo kapandisha za Iramba.
Kiukweli mm km mwenye mtaji mdogo nimefarijika mno naomba waweke haya ktk utekelezaji
 
M
Uzuri ni kwamba majini yote mawili yalifugwa na mtu mmoja kwenye chupa moja. Ndio maana yote yanafahamiana. Acha iendelee kunyesha ili tuone panapovuja. Hii ndio Tanzania
Wiguku alikuwa hamoendi jamaa yule, alimfanyia uhuni kwenye uchaguzi.
 
Akiwa bungeni leo Juni 26, 2023, waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba wakati akihitimisha hoja ya makadirio ya bajeti amemkalia kooni mbunge mwenzeke, Luhaga Mpina kwa madai alikuwa anafungia viwanda alipokuwa waziri huku akifurahia. Mwigulu amesema Mpina alikuwa anafanya sherehe kwa kuchoma nyavu bila kuzidhibiti kuingia.

Mwigulu amesema Rais Samia anawafundisha shughuli za uzalishaji ziheshimiwe na inapotokea matatizo kuwe na utaratibu wa kiungwana wa kurekebisha na kuacha kufunga biashara.

Mwigulu amemwambia Mpina kuwa si ubingwa wala ustaarabu kupinga kila kitu hata ambavyo havistahili kupingwa.

======

Amemshauri Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuwa si ubingwa wala si ustaarabu kupinga kila kitu hata visipopaswa kupingwa, badala yake anaweza kuuliza kwa namna nzuri ili aeleweshwe. Ameyasema haya wakati akirejea hoja ya Mpina iliyokata biashara zifungiwe.

Ametolea mfano alivyokuwa anafunga viwanda, kuchoma nyavu akiwa Waziri kuwa matendo hayo hayakuwa ya kistaarabu. Watu wa Sekta binafsi sio maadui, ni washirika wa maendeleo.

Katika kufungia biashara za watu ni muhumu kuzingatia mitaji yao, uwekezaji na muda wanaotumia kuwekeza na kufanya biashara hizo. Hauwezi kukaa na mtaji wa mtu umeushikilia huku yeye akiumia.


Ni ngumu sana kutatua tatizo kwa kutafuta justification ya makosa ya mtoa hoja!!
 
Dah Mpina alimkamia sana Mwigulu. Karudishia mapigo.


Si unajuwa, kofi la kurudihia linauma zaidi.
Mpina ni kama ana maumivu binafsi ya moyoni. Ni mtu anayeishi na hasira kwa awamu ya sita.

Anaona sio sehemu ya watu wa karibu wa SSH hivyo ana donge lina mkereketa.

Juzi alipoambiwa na Spika muda wako umeisha akapiga meza kwa hasira.
 
Luhaga Mpina kwa madai alikuwa anafungia viwanda alipokuwa waziri huku akifurahia. Mwigulu amesema Mpina alikuwa anafanya sherehe kwa kuchoma nyavu bila kuzidhibiti kuingia.
Yeye alikuwa waziri wa importation?
 
Mpina ni kama ana maumivu binafsi ya moyoni. Ni mtu anayeishi na hasira kwa awamu ya sita.

Anaona sio sehemu ya watu wa karibu wa SSH hivyo ana donge lina mkereketa.

Juzi alipoambiwa na Spika muda wako umeisha akapiga meza kwa hasira.
Yes anankitu kinaitwa "superiority complex".

Jwa watu wengi kitu kigumu sana ni ku "unlearn" yaani kufuta uliyokwisha jifunza.

Mpina ilibidi a "unlearn" ili aweze kujifunza mapya.
 
Sisi tuko buzy kuikomboa bandari yetu kutoka kwa mktaba tapeli wa DP world, hvyo viwanda vilivyofungwa si wavifungue tyuuh.

Wasituchanganye hapa.

Binamu hivi uko salama kweli? Nilijua utaenda kupigania bandari ya mbambabey maana mwekezaji akishaingia pale anajenga na kiwanda cha kusindika samaki na dagaa hapo, mbufu, mbelele, utazisikia kwenye redio tu
 
Kama bandari ni yenu mbona mpo humu kulialia tu.
Wenye bandari yao ni watu wa Pwani na ndio washaamua kumpa Mwarabu.
Kaskazini wanajivunia mlima mbuga wa pwani wana bandari eapoti 😆
 
Yes anankitu kinaitwa "superiority complex".

Jwa watu wengi kitu kigumu sana ni ku "unlearn" yaani kufuta uliyokwisha jifunza.

Mpina ilibidi a "unlearn" ili aweze kujifunza mapya.
Asili ya watu wa kabila husika ndio hiyo. Yupo Kalemani, yupo RIP Magufuli wote wana hiyo kitu.
 
Back
Top Bottom