Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Basi la kwenda Burundi litamuacha afanye haraka[emoji1787][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchumi wa nchi utaimarika.akiondolewa wewe binafsi unapata faida zipi?
Ameee,ameeen...Watu wote tuseme AMEN
Kinachofiti ni meno pekee ya yule mnyama mwenye meno mengi pekeemwigulu ame fits katika hii wizara kiasi kwamba mama hana stress za aina yoyote juu ya fedha katika mipango mbali mbali
Kama ni sehemu ya wazee wa PGo labda.Untouchable huyo
Madilu Sysytem Sydiegi Tonton 😂Waziri wetu mvaa skafu inadaiwa amekalia kuti kavu, muda wowote ataaga mashindano na kutuachia wizara yetu..
Ahsanteni...
Ndugu Joselala kwahiyo mara hii umetoa baraka aende na mafuriko sio.Tatizo tulimsaidia pale mbeya wakati wa uchaguzi mwaka 2015 asipelekwe kibla leo hii anatutesa.
huyo n mtoto mpendwa ila hatujui chief n unpredictableKama ni sehemu ya wazee wa PGo labda.
Unatumia ganja la wapi mkuuWaziri wetu mvaa skafu inadaiwa amekalia kuti kavu, muda wowote ataaga mashindano na kutuachia wizara yetu..
Ahsanteni...
Tatizo hawa watu wakipewa vimadaraka wanajisikia ni so special kwasababu ya kusindikizwa na maving'ora.Ndugu Joselala kwahiyo mara hii umetoa baraka aende na mafuriko sio.
Huwa ndoto zinazoambatana na milio ya bundi inaukweli🏃🏃Unatumia ganja la wapi mkuu
Hizi hallucinations zitakuua
Mungu Hachelewi/HawahiMungu ajibu😀😂😂
Hata Singida United hawamtaki, labda aende Stand United ya Misuna