Mwigulu ataruhusu nyota ya January ing'ae?

Mwigulu ataruhusu nyota ya January ing'ae?

Bora mwigulu Mara 1000 kuliko huyo January. Yeye January hata hiyo mijadala haitaki. Nilimkosoa kidogo tu wiki iliyopita akanipiga ban.
January popote ulipo hutakuja kuupata uraisi
View attachment 2000551
Ukiona mtu amekublock ujue kuna mawili:

1. Amekuona upo smart sana, utamchallenge

2. Amekuona bonge la mpumbavu uliyetumwa kumpotezea bando na muda wake.

Sasa wewe jiulize upo kundi gani.
 
Hiyo miaka hakuna lililowezekana ndio maana ye mwenyewe January alihusika na mikataba ya hovyo ya tanesco, kulikuwa na uvuvi wa kutumia mabomu kila mahali, uuzaji wa viwanja holela nchi nzima, miradi kutokamilika.
January ana mapungufu yake ila kumlinganisha na Mwigulu ni kumdhalilisha.
 
January ana mipango mingi inayohitaji fedha, lakini mmiliki wa fedha Ni asimu wake ambaye ni Mwigulu Nchemba, pesa ikichelewa kuidhinishwa miradi inachelewa na miradi isipopitishwa hazina na wizarani just kwa technicalities Januari anafeli.

Kimuundo hizi Ni wizara mbili zinazojitegemea ambazo zinaripoti utendaji kazi wake kwa Rais. Endapo Januari akiona mambo yanakwama hazina itamlazimu amjulishe Mwenye nchi na akimjulisha inakuwa amezalisha mgogoro hata Kama watabaki kusalimiana au kuchekeana lakini moyoni watakuwa na lao Jambo.

Lakini upande wa pili Januari akiwa na malengo makubwa zaidi ya kiasi Cha fedha kilichopo upo uwezekano akakwama. Mfano awamu iliyopita miundombinu ilielekezewa fedha nyingi na hivyo miradi ya baadhi wizara kukwama.

Naandika haya nikiwakumbusha wananzengo kwamba hapa upo mgogoro usioonekana kwa macho Ila upo rohoni. January anatamani kufanya extra na akifanya extra Mama anapata sifa kwa sababu miradi ya Januari Ina athari kubwa kiuchumi na kijaamii, ili afanye extra lazima hazina watoe extra kumwezesha kufikia malengo, na hazina wakimpa extra means Waziri lazima alazimike kumega sehemu ambako kumega huko kunaweza kuwa na athari wizara nyingine au kukahitaji signature ya Mama.

Itakapohitajika signature ya Mama na kwa kuzingatia malengo ya wawili hawa kisiasa lazima pachimbike.Kumbuka wizara ya fedha haina impact kwenye jamii kwa maono ya nje maana hakuna mradi wanaosimamia.


Hapa ndipo unaboini mgawa fedha anatakiwa awe mtu asiye na malengo ya Urais au Mwenye roho ya bifu. Mgawa fedha anapaswa awe mtu neutral ikiwezekana anayepokea shkamoo kutoka kwa wanasiasa wenye tamaa ya Urais.

Tunataka kwenda mbele lakini hatutaki kusoma alama za nyakati, tunataka kwenda mbele tukiwa na safu inayotaka ionekane ndiyo ilitufikisha huko wakati principally Tulipaswa kwenda Kama timu. Tenzi fikirisha kutokea Kanyigo Bukoba
Not one, not two, but all of them. Beware that amongst them the other presidential material is Emmanuel Nchimbi.
 
nimeelewa, Mwigulu na January hawawezi kuelewana yani ni kama tuseme ni washindani na above all wote wana nia ya kuwania kile kiti
nikatoa jibu langu kwamba,hata kama Mwigulu akimbania January bado haitamsaidia maana Mwigulu hakubaliki kabisa
Mahali pekee ambapo Mwigulu anapokubalika kwenye Urais ni kwenye yale majabali aliyoyaandika kila mahali kua ye ni Rais
 
Bora mwigulu Mara 1000 kuliko huyo January. Yeye January hata hiyo mijadala haitaki. Nilimkosoa kidogo tu wiki iliyopita akanipiga ban.
January popote ulipo hutakuja kuupata uraisi
View attachment 2000551
Ulimkosoa kidogo au ulimtusi? Kila anayepigwa bloku Twitter hulalamika ameonewa, lakini it is same story gerezani, kila mfungwa hudai "I didn't do it" (yaani yupo gerezani kionevu)
 
January ana mipango mingi inayohitaji fedha, lakini mmiliki wa fedha Ni asimu wake ambaye ni Mwigulu Nchemba, pesa ikichelewa kuidhinishwa miradi inachelewa na miradi isipopitishwa hazina na wizarani just kwa technicalities Januari anafeli.

Kimuundo hizi Ni wizara mbili zinazojitegemea ambazo zinaripoti utendaji kazi wake kwa Rais. Endapo Januari akiona mambo yanakwama hazina itamlazimu amjulishe Mwenye nchi na akimjulisha inakuwa amezalisha mgogoro hata Kama watabaki kusalimiana au kuchekeana lakini moyoni watakuwa na lao Jambo.

Lakini upande wa pili Januari akiwa na malengo makubwa zaidi ya kiasi Cha fedha kilichopo upo uwezekano akakwama. Mfano awamu iliyopita miundombinu ilielekezewa fedha nyingi na hivyo miradi ya baadhi wizara kukwama.

Naandika haya nikiwakumbusha wananzengo kwamba hapa upo mgogoro usioonekana kwa macho Ila upo rohoni. January anatamani kufanya extra na akifanya extra Mama anapata sifa kwa sababu miradi ya Januari Ina athari kubwa kiuchumi na kijaamii, ili afanye extra lazima hazina watoe extra kumwezesha kufikia malengo, na hazina wakimpa extra means Waziri lazima alazimike kumega sehemu ambako kumega huko kunaweza kuwa na athari wizara nyingine au kukahitaji signature ya Mama.

Itakapohitajika signature ya Mama na kwa kuzingatia malengo ya wawili hawa kisiasa lazima pachimbike.Kumbuka wizara ya fedha haina impact kwenye jamii kwa maono ya nje maana hakuna mradi wanaosimamia.


Hapa ndipo unaboini mgawa fedha anatakiwa awe mtu asiye na malengo ya Urais au Mwenye roho ya bifu. Mgawa fedha anapaswa awe mtu neutral ikiwezekana anayepokea shkamoo kutoka kwa wanasiasa wenye tamaa ya Urais.

Tunataka kwenda mbele lakini hatutaki kusoma alama za nyakati, tunataka kwenda mbele tukiwa na safu inayotaka ionekane ndiyo ilitufikisha huko wakati principally Tulipaswa kwenda Kama timu. Tenzi fikirisha kutokea Kanyigo Bukoba
Wakola omwana wa mawe.
 
Back
Top Bottom