saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 624
- 1,456
Waziri Mwigulu bungeni Februari 1, 2022 amesema fedha aliyolipwa Symbion nje ya bajeti sio Bilioni 350 kama ilivyosemwa na wabunge.
Swali ambalo Mwigulu hakulijibu Symbion amelipwa shilingi ngapi?
Pascal Mayalla na wachambuzi wengine tusaidieni majibu na uelewa maana tumeambiwa watanzania tujadili mambo ya uganga wa kienyeji mambo ya uchumi tumuachie Mwigulu yeye ndio taalamu yake
Swali ambalo Mwigulu hakulijibu Symbion amelipwa shilingi ngapi?
Pascal Mayalla na wachambuzi wengine tusaidieni majibu na uelewa maana tumeambiwa watanzania tujadili mambo ya uganga wa kienyeji mambo ya uchumi tumuachie Mwigulu yeye ndio taalamu yake