Mwigulu Bungeni amesema fedha aliyolipwa Symbion nje ya bajeti sio Bilioni 350

Mwigulu Bungeni amesema fedha aliyolipwa Symbion nje ya bajeti sio Bilioni 350

wachumi hawana lolote,nchi hata bila wachumi itaenda tu.je angekuwa daktari wa binadamu angekuwaje huyu jamaa?hajui kuwa kwa sasa karibia kila mtu anasoma general economics akiwa chuoni?hayo ya vicious economics watu wanayajua halafu kwa karne hii hawezi kumdanganya mtu dunia iko kiganjani.
 
Background ya mtu alipotoka na makuzi yake ina matter sana katika maisha yake yote. Hili jambo huwa tunalipuuzia na linatucost sana.
Unazungumza ya kweli kabisa.
Rudi nyuma ukute ya bomu kwenye kanisa la Olisati Ar,
Bomu kwenye mikutano ya chadema Ar
Mauaji ya wale polosi waliouawa temeke sitaki shari kwa mbinu ya kizuia maandamano ya ukuta nk.
Hayo yote yalihusishwa na njama zilizopangwa na Mwigulu
Screenshot_20230203-134313~2.jpg
 
Walikua na kesi na tanesco...na tanesco wangeshindwa tu tungepasuka pakubwa,so nunua,epuka Shari,epuka gharama za kumlipa symbion kila siku hata Kama hazalishi
Mkataba wa Tanesco na symbion ulikua wa kipuuzi. Hii kumlipa hata pale utapoanza kuzaisha umeme mwenyewe ni ujinga
 
Hili la fedha zilizolipwa Simbion ni kaa la moto!.
Baada ya Simbion kushinda kesi, tulikubaliana out of court settlement na mdeni wetu akakubali kulipwa half the amount not as part payment but final payment.

Blaza aligoma hata kulipa hiyo half!.
Lakini baada tuu ya Jamaa kuchomoka, Simbion walilipwa fasta fasta na kimya kimya!. What is interesting is walilipwa the full amount plus interest, wakati tuliisha kubaliana alipwe half!.

More interesting is mitambo ile ni tumeinunua kimya kimya!, sasa mitambo ya Richmond ambayo ndio hiyo hiyo ya Dowans na ndio Simbion sasa ni mali yetu!.

The icing sugar of this case, aliyelipwa ni Mtanzania mwenzetu!. Jee ni nani huyu?!
Very unfortunately mimi simjui!. Japo mimi ni mwandishi wa habari wa IJ, kuna IJ na IJ, IJ nyingine ni unaachia tuu!, maana..., maana kama hata Blaza alileftishwa!, who are you to sniff around?!.
P
Born town wanawala born village ama cowboys
 
Jamaa ni miongoni mwa mawaziri wa hovyo kuwahi tokea kwenye nchi hii.
Ni mtu mwenye kibri na majivuno.
 
Waziri Mwigulu bungeni Februari 1, 2022 amesema fedha aliyolipwa Symbion nje ya bajeti sio Bilioni 350 kama ilivyosemwa na wabunge.

Swali ambalo Mwigulu hakulijibu Symbion amelipwa shilingi ngapi?

Pascal Mayalla na wachambuzi wengine tusaidieni majibu na uelewa maana tumeambiwa watanzania tujadili mambo ya uganga wa kienyeji mambo ya uchumi tumuachie Mwigulu yeye ndio taalamu yake
Mawaziri waombe kazi na wasailiwe , Wasiteuliwe - Mpina
 
Back
Top Bottom