Unazungumza ya kweli kabisa.Background ya mtu alipotoka na makuzi yake ina matter sana katika maisha yake yote. Hili jambo huwa tunalipuuzia na linatucost sana.
Hata wewe ungesoma uchumi,pakiongelewa la kichumi na wasiojua uchumi,utamaind tuKama Prof Lipumba
Mkataba wa Tanesco na symbion ulikua wa kipuuzi. Hii kumlipa hata pale utapoanza kuzaisha umeme mwenyewe ni ujingaWalikua na kesi na tanesco...na tanesco wangeshindwa tu tungepasuka pakubwa,so nunua,epuka Shari,epuka gharama za kumlipa symbion kila siku hata Kama hazalishi
Born town wanawala born village ama cowboysHili la fedha zilizolipwa Simbion ni kaa la moto!.
Baada ya Simbion kushinda kesi, tulikubaliana out of court settlement na mdeni wetu akakubali kulipwa half the amount not as part payment but final payment.
Blaza aligoma hata kulipa hiyo half!.
Lakini baada tuu ya Jamaa kuchomoka, Simbion walilipwa fasta fasta na kimya kimya!. What is interesting is walilipwa the full amount plus interest, wakati tuliisha kubaliana alipwe half!.
More interesting is mitambo ile ni tumeinunua kimya kimya!, sasa mitambo ya Richmond ambayo ndio hiyo hiyo ya Dowans na ndio Simbion sasa ni mali yetu!.
The icing sugar of this case, aliyelipwa ni Mtanzania mwenzetu!. Jee ni nani huyu?!
Very unfortunately mimi simjui!. Japo mimi ni mwandishi wa habari wa IJ, kuna IJ na IJ, IJ nyingine ni unaachia tuu!, maana..., maana kama hata Blaza alileftishwa!, who are you to sniff around?!.
P
Mawaziri waombe kazi na wasailiwe , Wasiteuliwe - MpinaWaziri Mwigulu bungeni Februari 1, 2022 amesema fedha aliyolipwa Symbion nje ya bajeti sio Bilioni 350 kama ilivyosemwa na wabunge.
Swali ambalo Mwigulu hakulijibu Symbion amelipwa shilingi ngapi?
Pascal Mayalla na wachambuzi wengine tusaidieni majibu na uelewa maana tumeambiwa watanzania tujadili mambo ya uganga wa kienyeji mambo ya uchumi tumuachie Mwigulu yeye ndio taalamu yake