Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SahihiBila ya kuwapelekea moto wa kueleweka hawa watu waelewe vipi watu hawa kuwa wanazotumbua si mali zap?
Nchi ina mchwa hatari
Mwigulu kaongea vizuri sana , na ameonyesha sasa umuhimu wa katiba ,Amesikika waziri Mwigulu kuwa hazina yetu iko salama na zaidi sana Iko mikono salama:
View attachment 2580607
Kwa mwendo huu waziri Mwigulu analenga kusema nini hasa?
View attachment 2580617
View attachment 2580615
View attachment 2580620
View attachment 2580621
Na kadhalika na kadhalika hadi chefu.
Kweli wanatuchezea shere, wanatu enjoyHalafu kutucheza shere wanatwambia pesa zetu ziko salama kwenye mikono salama.
Sawa na fisi anayetulindia bucha atwambie minofu ya nyama itakuwa salama tupumzike tu nyumbani.
Kwa kweli wametudharau sana.
Kama wananchi hawajitambui kwanini pesa zisipigwe tu??!wananchi ndio wapumbavu,na hili litapita tu tusubiri ripoti nyingine tena.Nchi ngumu sana hii!!!
Wasomi wanaongoza kwa upumbavu
Hivi unadai billion kadhaa halafu unaemdai humjui? Hata mtu ambae hakwenda shule hawezi kuwa mjinga hv
Sahihi
Kama wananchi hawajitambui kwanini pesa zisipigwe tu??!wananchi ndio wapumbavu,na hili litapita tu tusubiri ripoti nyingine tena.
Kwani anayetafuna hazina ni Waziri wa Fedha?Amesikika waziri Mwigulu kuwa hazina yetu iko salama na zaidi sana Iko mikono salama:
View attachment 2580607
Kwa mwendo huu waziri Mwigulu analenga kusema nini hasa?
View attachment 2580617
View attachment 2580615
View attachment 2580620
View attachment 2580621
Na kadhalika na kadhalika hadi chefu.
Si ndio maana wanatuchezea tu, Wakuwachukulia hatua naye analalamika kwetu!!yaani wazungu wakati mwingine huwa bara la Afrika wanaliona ni kama chaneli ya VICHEKESHO!!
Nje ya sufuria suluhu ni kuliinjika juu ya mafIga, na kuchochea kuni:Si ndio maana wanatuchezea tu, Wakuwachukulia hatua naye analalamika kwetu!!yaani wazungu wakati mwingine huwa bara la Afrika wanaliona ni kama chaneli ya VICHEKESHO!!
😆😆Alichosema Mwigulu ni sawa na kumpa mwizi pesa zako akulindie halafu unakuja kumuuliza kama zipo salama...
-Yes, zipo kwenye mikono salama kabisa mkuu!.
Tatizo walishatuona wananchi nao ni wapumbavu tu!!!Ziko salama how? Hizi tunazoambiwa zimepotea ni za hazina ya Burundi?
Kwani wenye dhamana ya kushikilia na kuilinda hazina yetu ni nani?Kwani anayetafuna hazina ni Waziri wa Fedha?
Uzuri hao wote waliohusika ikibainika ni kweli watawajibishwa.