Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
Kwa hiyo wewe haikuhusu,inahusu chadema sivyo?
Hatari sn huyu mazaYajayo yanasikitisha Sana, naona future ya Tanzania ikizidi kuwa Giza zaidi. Hakika tutalimia meno huko tuendako
Nchi imemshinda kabisaKwa hili mama kazingua bana pakubwa sana
Mama ni clueless kwa mambo mengi, tusimpe sifa asizostahili...Kwa hili mama kazingua bana pakubwa sana
Tanzania kuna bunge!!???Ebu tulia, kwani budget ni Dr. Mwigulu anapitisha, yeye anatoa proposals tu, Bunge ndio linapitisha budget, akiwemo mbunge wako, muulize mbunge wako, sbb zilizopelekea alikubali budget kuipitisha. Sio Mwigulu, umeelewa? Mwigulu ni mtoa hoja tu, waliokubaliana na hoja kupita waulize, mpigie mbunge wako
Vitu vingine SSH anayataka mwenyewe , mtu alie wai kua wizara ya fedha na wenzake au watangulizi wake wakaona hapamtoshi, akapewa wizara ya Mambo ya ndani bado wakaona hapamtoshi then katiba na sheria, leo wamrudisha kule , huyu Mwingulu , hamna kitu ,natamani nafasi yake angepewa tu Mbunge Kishimba ,ana vyeti tu ,ila hamna lolote,Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa
Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)
Mnataka tuishije sasaa?
Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?
Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?
Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?
Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?
Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?
Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.
Na bora waseme watafanya maendeleo.
Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.
Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.
MWIGULU, HE MUST RESIGN
mkuu unasema mpango kakaa kimya wakati alitweet anasema "wananchi wote vumilieni tu mtazoea"Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa
Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)
Mnataka tuishije sasaa?
Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?
Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?
Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?
Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?
Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?
Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.
Na bora waseme watafanya maendeleo.
Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.
Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.
MWIGULU, HE MUST RESIGN
ata tukiongea haita saidia. wakishaamua wameamua. ata baada ya mwezi wakipandisha tena mtapiga tu kelele kwenye mitandao mwisho wa siku makato yataendelea kama kawaida.
inasemekana kuwa Chadema wana shawishi watu wagomee tozo hiyo kwa sababu eti kisa walio pitisha sheria hiyo ni wabunge CCM.Kwa hiyo wewe haikuhusu,inahusu chadema sivyo???
Huyo ndo majanga kabisaNa Ndungulile pia wa TEHAMA wanapaswa kujiuzulu au fukuzwa kazi.
Sheria iliyopitishwa na bunge yaweza kuwa nzuri shida kwa hawa wasimamizi wa utungaji wa kanuni. Na ndiyo hasa shida vinginevyo ungesikia statement zao sheria irejewe bungeni na sio kanuni. Kwakuwa kanuni wametengeza wao ndiyo wameamua kwenda kuzirejea. Kwahiyo wafukuzwe kabisa. La tungesema baraza la mawaziri livunjwe.Mbona mnatuhumu Mwigulu tu? Hivi unafikiri Rais alikuwa hajui mwaka wa fedha 2021/2022 wataingiza Tsh ngapi na kupitia vyanzo vipi vya mapato? Walianza kujadili wenyewe huko yakapitishwa kwenye vikao mpaka vya baraza la mawaziri ndo wakatuletea sisi uku.
Mtu ameteua mpaka mshauri wake wa masuala ya uchumi yupo anakuja kusaini iyo bill as if alikuwa hajui kusoma!View attachment 1859434