Mwigulu, it's enough. You MUST resign!
Ndio viongozi wetu hawajuhi kuwa development ni inclusive ni vizuri kushirikisha wananchi ili hata Kodi ikiwepo isiwe inaumiza Sana wananchi na serikali ipate, shida watu wakipata madaraka huwa wanajiona Wana akili kuliko raia, wao wanaendeshwa kwenye ma viete in polepole voice, wanalipiwa bills na kila kitu so hawajui shida za raia wa chini misoto tunayoipata. A good leader lazima ajitahidi kuvaa viatu vya Raia wake wa chini bana
They never care about this
 
Yani mama Samia na Mwigulu wanaenda kuua kabisa uchumi imagine kupandisha mafuta na nauli zitapanda na kila kitu kitapanda hicho hakijatulia kaongeza na makodi ya miamala Tena ime doubt Mara mbili kabisa kisa kumaliza mamiradi yenye feasibility study ya 1970 huku wananchi wakifa. Nikikumbuka jinsi mpesa, Airtel money, tigo pesa jinsi zimeajiri maelfu ya watu na kipindi Cha Magu walikuwa wanalia na mzunguko na Sasa wamepandisha makato watapiga miayo Sana, tungekuwa na upinzani timamu ya kupigia kelele agenda hizi tungefika mbali
Mtu aliyekuwa anahudumia watu 50 sahizi hata kumi hawafiki! Wanaenda kuua uchumi bila kujali kuwa huwezi panua kodi bila kupanua wigo wa kipato
 
Mtu aliyekuwa anahudumia watu 50 sahizi hata kumi hawafiki! Wanaenda kuua uchumi bila kujali kuwa huwezi panua kodi bila kupanua wigo wa kipato
Hata watano ni wengi Watanzania wamesusa hii huduma aisee na mzunguko utakuwa mdogo na serikali itakosa hata hicho kidogo
 
Hata watano ni wengi Watanzania wamesusa hii huduma aisee na mzunguko utakuwa mdogo na serikali itakosa hata hicho kidogo
Wamekosa ubunifu wao wanaona kulimbikiza tozo kwenye huduma muhimu ndio watapata hela!
 
Hafu hyo hela wameweka tozo kubwa jamani, Mimi ndo nimeshaacha kabisa kutuma
Hilo mie ndo lalamiko langu yani, kama una target ya buku weka sh.100 kwenye vyanzo kumi vya mapato mbona hela itaingia tu! Ila sio unaweka elfu moja sehem ambayo service charge na kodi ni 1000 tayari! Kwahio unaweka na tozo ya 1000 inakuwa buku 2
 
Hilo mie ndo lalamiko langu yani, kama una target ya buku weka sh.100 kwenye vyanzo kumi vya mapato mbona hela itaingia tu! Ila sio unaweka elfu moja sehem ambayo service charge na kodi ni 1000 tayari! Kwahio unaweka na tozo ya 1000 inakuwa buku 2
Yani wangeongeza amount flani hata watu wasingeshtuka, mbona mafuta na luku hazilalamikiwi Sana maana ongezeko kubwa, na mfano kuamisha hela kutoa Airtel kwenda bank wanakata karibia 10000 huo si wizi mtupu aisee.
Na mwezi ujao Kuna Kodi nyingine ya line you can imagine watu tulipwapa dhamana wanafikiria kwa kutumia masaburi
 
Yani wangeongeza amount flani hata watu wasingeshtuka, mbona mafuta na luku hazilalamikiwi Sana maana ongezeko kubwa, na mfano kuamisha hela kutoa Airtel kwenda bank wanakata karibia 10000 huo si wizi mtupu aisee.
Na mwezi ujao Kuna Kodi nyingine ya line you can imagine watu tulipwapa dhamana wanafikiria kwa kutumia masaburi
Mie nilishasema bwana Lameki Dito nafasi haimtoshi ile
 
kila mtu hukumbukwa inategemea anakumbukwaje inaweza kuwa postively au negatively.
Na tuendako tutamkumbuka tu aisee maana dah this is too much. Shida viongoz hujiamulia bila kushirikisha wananchi ili ka ni kula Ile pande zote na sio pande ya Raia tu
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN
Tozo la miamala ni dhuruma kwa wananchi. Serikali imegeuka omba omba jeuri, anaekutaka uweke kiasi cha pesa kwenye bakuri la fedha. Unapotuma pesa hiyo pesa haijafanya biashara. Aliefanya biashara ni kampuni ya simu ambayo bila aibu inakutoza ulietuma na anaepokea pesa hiyo hiyo. Kodi ni kwa pato la biashara. Mawakala wanalipwa kamisheni ndogo sana, hela nyingi huchukuliwa na makampuni. Serikali haitaka kuyadai kodi zaidi kwa vile vigogo wana hisa na umiliki.
 
Ebu tulia, kwani budget ni Dr. Mwigulu anapitisha, yeye anatoa proposals tu, Bunge ndio linapitisha budget, akiwemo mbunge wako, muulize mbunge wako, sbb zilizopelekea alikubali budget kuipitisha. Sio Mwigulu, umeelewa? Mwigulu ni mtoa hoja tu, waliokubaliana na hoja kupita waulize, mpigie mbunge wako
Hakuna bunge, kuna wabaka demokrasia wa CCM mjengoni.
 
Ebu tulia, kwani budget ni Dr. Mwigulu anapitisha, yeye anatoa proposals tu, Bunge ndio linapitisha budget, akiwemo mbunge wako, muulize mbunge wako, sbb zilizopelekea alikubali budget kuipitisha. Sio Mwigulu, umeelewa? Mwigulu ni mtoa hoja tu, waliokubaliana na hoja kupita waulize, mpigie mbunge wako
Usisahau, rais ali sign mswaada wa budget ili uwe sheria. Nashuku kama siku hiyo alikuwa amevaa miwani.
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN
😂😂
 
Back
Top Bottom