Mwigulu, it's enough. You MUST resign!
Tatizo kubwa ni maneno yake dhidi ya raia wenzake kwamba wahamie Burundi.
Katika jamii ya wastaarabu, mashinikizo ya kujiuzulu yasingekoma hadi aachie ngazi.
Hajui tukienda Burundi tutajifunza nini, na tukirudi tutarudi na nini! Wale 'waliokimbia' kule kusini wako wapi?
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN
Na kibaya zaidi anawaambia wananchi kuwa lazima walipe hiyo kodi kwa kuwa imeamriwa na Bunge la CCM na kwamba asiyeweza kulipa eti akahamie Burundi. Sijawahi kuona waziri wa ovyo hapa duniani kama Mwigulu Nchemba . Na mama naye amezungukwa na washauri wachumiatumbo wakubwa vinginevyo huyu jamaa hakutakiwa kuwa kwenye baraza la mawaziri. Ana nini kipya hasa mbona kila wizara anayopelekwa anafeli? Kama alishindwa kuongoza wizara ya mambo ya ndani hii ya fedha ndiyo ataiweza? Ebo! Tuacha masikhara jamani.
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN
Kwahiyo unataka mteule a resign au mamlaka ya uteuzi ndiyo ijitathmin❓😭
 
Hana tofauti na kingwangala vyeti vimeshindwa kuwasaidia.Heri apewe kishimba angepewa wizara hio.
Wanaachwa watu smart kama kina Dr Kimei,huyu msingida alaaniwe kabisa
Nime "dislike" post yako kwakuwa unampigia debe Kimei ambaye hajawahi kuonesha performance yoyote ya kiuchumi
 
Wee jamaa ndio niliyekuona hapa unapanda mtumbwi ziwa tanganyika kuelekea burundi? Kila lanheri
 
Hahaha chadema walikunaniiii nini maana watu tunajadili km taifa ww unaleta mambo yako uliyomwagiwana chadema....kajifute uleee mi.
Chadema mmeacha madai ya katiba mpya sasa mmehamia kwenye tozo za kodi ya kizalendo, kamwe hamto fanikiwa mnacho kitaka.
 
Hajui tukienda Burundi tutajifunza nini, na tukirudi tutarudi na nini! Wale 'waliokimbia' kule kusini wako wapi?
Ni muhimu tujenge taifa la kistaarabu ambapo viongozi wataheshimu raia na pia wananchi waweze kuwawajibisha inapobidi.
Viongozi kuwa na kiburi cha madaraka hadi kusema hivyo si sawa.
 
Mamlaka ya uteuzi tuseme Sasa imetoshaaaaa

Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?

Najiuliza inamaana waziri Huyu wa fedha ameshindwa kutumia elimu yake ya kiuchumi ktk ulimwengu wa sasa ktk kupata kodi?

Hivi kweli Sasa hivi kwa technology ya Dunia unataka mtu atoke Mbagala apelekwe hela tegeta badala ya kutuma kwa mtandao kosa tu Makato ni makubwa kuliko nauli ya bus kufata/kepeleka hela?

Mnataka tuanze kutuma hela kwa bus?

Mamlaka ya uteuzi ndo wameridhika kabisaa Mwigulu kuwa waziri wa Fedha?

Dkt. Mpango umeamua kwa makusudi kukaa kimya Bila kumshauri mama samia mambo ya kiuchumi?

Nn anajua Mwigulu Kuhusu uchumi zaidi ya janja janja ya kuwazidishia wananchi mzigo wa gharama ya Maisha.

Na bora waseme watafanya maendeleo.

Kinachouma wanatukamua fedha kwa ajili ya posho zao za vikao na per diem.

Hivi Mwigulu si ndo Huyu juzijuzi Zaid ya 1.4 billion zimepigwa akiwa waziri wa Fedha.

MWIGULU, HE MUST RESIGN
Oh he will go, just a matter of time...
 
Mnamuonea Mwigulu. Mchakato wa mswada wowote unaopelekwa bungeni unaanzia kwa Rais na kuishia kwake. Maana yeka ni nini? Kabla Mwigulu hajapeleka pendekezo la tozo hizi za kipumbavu ni lazima alimpelekea kwanza Rais ambaye alibariki. Rais anatakiwa awe na uwezo wa kupima madhara ambayo yanaweza kutokea kufuatana na uamuzi fulani. Kama Rais hakupima na akaruhusu sula liende bungeni, likapitishwa halafu akaja akatia saini, sasa wa kulauniwa ni nani? The buck stops at the President's feet!
Mwigulu aachie madarakaaaa
 
We kwenda huko ku.ma ww kuna mtu alikuwa wa hovyo kama huyo shujaa wako aliyekuwa anakopa mapesa anadanganya fedha za ndani na ndiye chanzo cha haya maujinga ujinga ya sasa kaacha deni kubwa sn mpk kukopesheka ni shida

Tena bora hata huyu tunalipa wote lakin yule shujaa alikuwa anaibia na kutapeli watu pesa zao hakuna cha maana amefanya zaid ya matumiz makubwa kwny ma miundombinu kuliko uwezo wa budget ya taifa aende kabisa asirudi asilani. [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji135][emoji135][emoji135]
Moderator
 
Back
Top Bottom