antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Huyu jamaa ni tapeli na fisadi mkubwa
Chanzo: Gazeti la Raia Mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa ni tapeli na fisadi mkubwa
Chanzo: Gazeti la Raia Mwema
Hilo ni gazeti gani haina ht jina. Hao ni wazushi wakifungiwa wanaanza kuomba huruma ya serikali.Hili lichama limejaa watu wa ajabu mno.
Yako busy kubambikia watu kesi badala ya kushughulika na mambo ya msingi.
Utashangaa hili gazeti linaweza fungiwa.
CCM si chama cha siasa bali ni kikundi cha watu wachache kwa masilahi yao.
Kule kwa nyumbu umesahau mpk makamu m/kiti amelalamikia rushwa hadharani? Bora CCM huko kwengine ni uozoHili lichama limejaa watu wa ajabu mno.
Yako busy kubambikia watu kesi badala ya kushughulika na mambo ya msingi.
Utashangaa hili gazeti linaweza fungiwa.
CCM si chama cha siasa bali ni kikundi cha watu wachache kwa masilahi yao.
Huna ushahidi we bwege. Upotoshaji wowote unaumeza tu bila ht kauchambuzi kadgo? We km si mwehu sijuiHao ndio mafisadi wa CCM. Wako kwenye uongozi kwa ajili ya kujinufaisha. Kwenye bajeti hii wameamua kukarabati viwanja vyao vya mpira wanavyovimiliki ndio maana wakafuta kodi ya nyasi bandia.
Rais HAWEZI MFANYA CHOCHOTE MWIGULU.
I HATE KIKOKOTOO, REMOVE IT IMMEDIATELY 😒😒
Chanzo: Gazeti la Raia Mwema
Katika vitu ambavyo mama anakosea ni kuendelea kumwacha huyu jamaa kwenye hiyo wizara. Ni kama kajifunga jiwe kubwa asiweze kusonga mbele.
Chanzo: Gazeti la Raia Mwema