Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Msimchafue MWIGULU....
Mpelekeeni VITUMBUA John Pambalu .....
Mpelekeeni VITUMBUA John Pambalu .....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo mh.Mbowe ni Mandela ?!! 😲😲🤣🤣Hata Mandela aliitwa gaidi na Makaburu.
Tulia sasa dawa ikuingieHili gazeti la kufungia mihogo ndio liliandika ole sabaya ni billionea , wapuuzi sana linatumiwa na mbowe na genge lake
USSR
Muliofanikiwa kuona hadithi za zamani, kuna kitabu kiliitwa Kisa cha Yohana mjinga na utiivu wake.
Every village has its own madman. Hata familia ina kichaa wake!Utawala wa JK kila uzushi alitupiwa Ridhiwani, utawala wa Magu alikuwa Makonda, naona utawala wa Samia ni Mwigulu, waTZ tuna shida sana
Yaani wanapika na kuyapiga majunguKwa majungu ya wahariri uchwara
USSR
Utawala wa JK kila uzushi alitupiwa Ridhiwani, utawala wa Magu alikuwa Makonda, naona utawala wa Samia ni Mwigulu, waTZ tuna shida sana
Uyatima wako usifanye uanze duwa la Kuku kwamba na wengine watakuwa yatima! Kaeni na ujane na uyatima wenu, mteseke mpaka mfe!Mbowe Ni gaidi ,mjiandae kisaikorojia ninyi yatima watarajiwa
That is a commonly known court rhetoric. Socially, we have our own assessment. He is a thief!He is innocent unless it’s proved.
Ngoja tuone bwashee!Huyu Madelu anaweza asidumu kwenye hiyo nafasi yake!
Huyu Bi. Mkubwa wetu muda si mrefu anaweza akamuengua jamaa.
Mwigulu sio mtu sahihi kwenye hiyo nafasi,Huyu Madelu anaweza asidumu kwenye hiyo nafasi yake!
Huyu Bi. Mkubwa wetu muda si mrefu anaweza akamuengua jamaa.
Wapi nimesemaSasa kama unalijua hili Mbona useme Mbowe kwenda ndani CHADEMA wamebaki yatima
Kasome magazeti ya Tanzanite na Uhuru, si bado yapo?Hili gazeti la kufungia mihogo ndio liliandika ole sabaya ni billionea , wapuuzi sana linatumiwa na mbowe na genge lake
USSR
Mpango amekaa hapo sijasikia zengwe au unalo utuambieHivi ni kingozi gani atakayekaa sekta nyeti kama ya Waziri wa Fedha na kutengeneza sera zinazohitaji maamuzi magumu halafu asitafutiwe zengwe?
Hizi kelele za Mwigulu atumbuliwe ni wivu tu usio na msingi kutoka kwa haters. Kazi kwa mama ni je ataweza kuread through the mind of haters na wanachokitaka? Hao hao wanaomtaka Mwigulu atumbuliwe ndio hao hao wanaomwambia mama ni dikteta kuliko mtangulizi wake.
Utawala wa JK kila uzushi alitupiwa Ridhiwani, utawala wa Magu alikuwa Makonda, naona utawala wa Samia ni Mwigulu, waTZ tuna shida sana
Utawala wa JK kila uzushi alitupiwa Ridhiwani, utawala wa Magu alikuwa Makonda, naona utawala wa Samia ni Mwigulu, waTZ tuna shida sana
Waarab wa Pemba hujuana kwa vilemba. Nitakuwa wa mwisho kuamini kama huyo Mama alimteua Mwigulu pasipo kujua!Huyu Madelu anaweza asidumu kwenye hiyo nafasi yake!
Huyu Bi. Mkubwa wetu muda si mrefu anaweza akamuengua jamaa.